Azam TV - HIGHLIGHTS: Mbao FC 2-2 Mbeya City (13/10/2017)
Ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliopigwa leo katika dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza ambapo Mbao ndiyo walioanza kupata bao dakika ya 3, kisha Mbeya City wakakosa mkwaju wa penati dakika ya 5 kupitia kwa Mohamed Samatta.