Mkazuzu Online's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

Magoli Simba 2-2 Mwadui fc
Magoli Simba 2-2 Mwadui fc

Mzunguko wa 18 ligi kuu tanzania bara



Magoli yote ya Simba dhidi ya Majimaji 4-0
Magoli yote ya Simba dhidi ya Majimaji 4-0

Simba imeendelea kujichimbia kileleni mwa ligi kuu baada ya kuifunga majimaji 4-0 uwanja wa Taifa



Uwanja wa ushirika kuchimbika jumamosi Polisi tz vs Coastal union
Uwanja wa ushirika kuchimbika jumamosi Polisi tz vs Coastal union

Ligi daraja la kwanza inaelekea ukingoni na moja kati ya mechi kali zinazotoa muelekeo ni hii ya Polisi Tz vs Coastal unio



HAMIS ABDALLAH
HAMIS ABDALLAH

Kiungo wa timu ya taifa ya tanznaia Hamis Abdallah anayekipiga na timu ya Sony Sugar ya nchini Kenya amesema tangu aitwe Stars kwa mara ya kwanza heshima yake imeongezeka .



4G ya Simba kwa timu ya Njombe Mji uwanja wa Uhuru 21 10 2017
4G ya Simba kwa timu ya Njombe Mji uwanja wa Uhuru 21 10 2017

Simba imeendeleza ubabe ligi kuu kwa kuikaribisha Njombe Mji Mjini kuwa kuishinda goli 4 bila uwanja wa uhuru..



Comment ya kocha wa Mbao na Azam Fc baada ya mchezo wao wa sare
Comment ya kocha wa Mbao na Azam Fc baada ya mchezo wao wa sare

Timu ya Mbao fc ya jijini Mwanza imeshindwa kupata ushindi katika uwanja wake wa nyumbani ikiwa imecheza mchezo wa nne mfululizo uwanja wa Ccm Kirumba.





User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports