TANZANIAN VODACOM PREMIER LEAGUE LOGO TEAM ANIMATION {simba,yanga,azam,mbao,singida,lipuli.......}
Mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) kati ya Mbao FC dhidi ya Simba SC, umemalizika kwa matokeo ya sare ya 2-2.
Nahodha wa Mbao FC Yusuph Ndikumana na mwenzake wa Simba SC Method Mwanjali, wameuzungumzia mtanange wa VPL, uliozikutanisha timu zao.
Vijana wa Mbao FC wamesawazisha bao la pili kupitia mchezaji wake Emmanuel Mvuyekure, kwenye mtanange wa VPL dhidi ya Simba SC.
Matukio makubwa yaliyojitokeza kipindi cha kwanza mtanange wa VPL, Mbao FC dhidi ya Simba SC.
Simba SC inaongoza kwa mabao mawili dhidi ya moja la wenyeji wao Mbao FC, mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL).
Mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) kati ya Mbao FC dhidi ya Simba SC, unaendelea kurindima jijini Mwanza huku vituko vya hapa na pale vikijitokeza.
Mchezaji wa Simba SC, Shiza Kichuya, ameitanguliza mbele timu yake kwa kufunga bao moja kwenye mtanange wa VPL dhidi ya Mbao FC.