Content removal request!


BARAKA MPENJA “DAKIKA ZA JIOONI/ALICHAMBUA GOLI LA PRINCE DUBE/LINA MAANA KUBWA KWA YANGA SC”

Mtangazaji wa kabumbu kutoka Azam Media, Baraka Mpenja akitoa maoni yake kwa klabu ya Yanga baada ya Yanga kupata sare ya Bao 1-1 dhidi ya TP Mazembe.