Taifa stars wazungumza na Balozi wa Tanzania nchini misri kuelekea AFCON 2019
Taifa stars wazungumza na Balozi wa Tanzania nchini misri kuelekea AFCON 2019

Kikosi cha Taifa stars baada ya kushuka dimbani june 16 kwenye mchezo wa pili wa kirafiki na kupata sare dhidi ya Zimbabwe kwa kufungana 1-1. Balozi wa Tanzania nchini misri meja jenerali Isa suleiman Nassor amezungumza na wachezaji wa Taifa stars huku akisema Tanzania pia inawakilisha Tanzania huko nchini misri huku akiwaomba wachezaji kupamabana katika michezo ya kwanza ili kupata nafasi ya kusonga katika hatua ya makundi. __ Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania. Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young. ******************************************* Share, Support, Subscribe!!! Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ Youtube: https://www.youtube.com/c/HZBTV Twitter: http://www.twitter.com/harakatizabongo Facebook: http://www.facebook.com/harakatizabongo Instagram: http://instagram.com/harakatizabongo Google Plus: https://plus.google.com/+harakatizabongo Website: http://harakatibongo.com/



Mashabiki Simba 'Watetema' Kabla Ya Kufungwa Na Sevilla 5-4
Mashabiki Simba 'Watetema' Kabla Ya Kufungwa Na Sevilla 5-4

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la SportPesaChallenge baada ya kuwafunga wenyeji, Simba SC mabao 5-4 katika mchezo maalum wa kirafiki Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam usiku wa leo. Lakini haukuwa ushindi mwepesi, kwani Sevilla waliomaliza nafasi ya sita kwenye La Liga msimu walilazimika kutoka nyuma kwa mabao 3-1 hadi mapumziko ili kushinda 5-4. Nahodha wa klabu, John Raphael Bocco alianza kuifungia Simba SC dakika ya nane kabla ya mshambuliaji mwenzake, Mnyarwanda Meddie Kagere kufunga la pili dakika ya 14. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



NIYONZIMA: Sevilla ni zaidi Yetu, Wametufunga 5-4 Ni Wazoefu
NIYONZIMA: Sevilla ni zaidi Yetu, Wametufunga 5-4 Ni Wazoefu

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la #SportPesaChallenge baada ya kuwafunga wenyeji, #SimbaSC mabao 5-4 katika mchezo maalum wa kirafiki Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam usiku wa Mei 23, 2019. Lakini haukuwa ushindi mwepesi, kwani Sevilla waliomaliza nafasi ya sita kwenye La Liga msimu walilazimika kutoka nyuma kwa mabao 3-1 hadi mapumziko ili kushinda 5-4. Nahodha wa klabu, John Raphael Bocco alianza kuifungia Simba SC dakika ya nane kabla ya mshambuliaji mwenzake, Mnyarwanda Meddie Kagere kufunga la pili dakika ya 14. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



MO Dewji Apiga Picha na Mashabiki wa Simba Taifa
MO Dewji Apiga Picha na Mashabiki wa Simba Taifa

#SIMBA 4- 5 SEVILLA Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la #SportPesaChallenge baada ya kuwafunga wenyeji, Simba SC mabao 5-4 katika mchezo maalum wa kirafiki Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam usiku wa Mei 23, 2019. Lakini haukuwa ushindi mwepesi, kwani Sevilla waliomaliza nafasi ya sita kwenye La Liga msimu walilazimika kutoka nyuma kwa mabao 3-1 hadi mapumziko ili kushinda 5-4. Nahodha wa klabu, John Raphael Bocco alianza kuifungia Simba SC dakika ya nane kabla ya mshambuliaji mwenzake, Mnyarwanda Meddie Kagere kufunga la pili dakika ya 14. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



Jezi za Simba Zamwagwa Uwanja Wa Taifa Simba vs Sevila
Jezi za Simba Zamwagwa Uwanja Wa Taifa Simba vs Sevila

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la SportPesaChallenge baada ya kuwafunga wenyeji, Simba SC mabao 5-4 katika mchezo maalum wa kirafiki Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam usiku wa mei 23, 2019. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Kikosi cha Simba SC kilikuwa; Aishi Manila, Zana Coulibaly, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Pascal Wawa, Jonas Mkude/Muzamil Yassin, Emmanuel Okwi, Clatous Chama, John Bocco na Haruna Niyonzima/Hassan Dilunga. Sevilla: Juan Soriano, Jesus Escudero, Simon Kuaer, Ever Banega, Quincy Promes, Roque Sema, Wissam Ben Yedder, Emmanuel Agudo Nolito na Franco Vazquez. Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



SPOTI HINTS: PATASHIKA SIMBA Kuwavaa JS SAOURA Hapo Kesho Nchini Algeria
SPOTI HINTS: PATASHIKA SIMBA Kuwavaa JS SAOURA Hapo Kesho Nchini Algeria

SPOTI HINTS: SIMBA KUKIPIGA NA JS SAOURA Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania taifa stars Emmanuel amunike Leo amechagua kikosi cha timu ya taifa zitachovaana na Uganda the craines marchi 24 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika michuano ya kufuzu kombe la mataifa Africa AFCON nchini Cameroon mwaka huu. Na kikosi cha simba kesho kinatarajiwa kushuka dimbani nchini Algeria kuumana na js saoura katika uwanja wa aout uliopo mji wa bechar katika ligi ya mabingwa barani afrika. Timu ya taifa ya vijana chini ya umri 17 Serengeti boys Leo imeangukia poa baada ya kupoteza mchezo wao wa mwisho dhidi ya uturuki katika michuano ya mechi za kirafiki uefa assist ambapo imefungwa magoli 5 -0. Meneja wa zamani wa Chelsea, Leicester na Fulham Claudio Ranieri, mwenye umri wa miaka 67, anakaribia kukamilisha taratibu za kuichukua klabu yake ya zamani Roma, a baada ya upande wa ligi hiyo ya dataja la A kumfuta kazi Eusebio di Francesco. (Sky Sports katika ligi kuu ya uingereza michezo mbalimbali itapigwa katika viwanja tofauti wakati vinara wa ligi hyo man city waikaribisha Watford... Huku Newcastle na Everton na Southampton na Tottenham.. https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



AZAM FC 2-0 TANZANIA U23: HIGHLIGHTS (MECHI YA KIRAFIKI - 16/11/2018)
AZAM FC 2-0 TANZANIA U23: HIGHLIGHTS (MECHI YA KIRAFIKI - 16/11/2018)

Kikosi cha Azam FC kimeshuka dimbani Azam Complex Chamazi kujipima nguvu na Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya umri wa miaka 23 ambapo Azam FC imepata ushindi wa mabao 2-0. Bao la kwanza la Azam FC limefungwa na Enock Atta dakika ya 12 ya mchezo huo wa kirafiki huku dakika ya 87 Obrey Chirwa akifunga bao la pili ambalo ni la kwanza kwake tangu alipojiunga na timu hiyo hivi karibuni. Wakati Azam FC ikijiandaa na mechi zake zinazofuata za Ligi Kuu Bara, timu hiyo ya Taifa chini ya miaka 23, wao wanajianda na mchezo wa marudiano dhidi ya Burundi ambao ni wa kufuzu Kombe la Afrika mwakani. Katika mchezo wa awali, Burundi ilishinda mabao 2-0 nyumbani na mchezo wa marudiano utachezwa Jumanne ijayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.



MAGOLI: Express FC 1-1 Azam FC (Mechi ya kirafiki 12/08/2018)
MAGOLI: Express FC 1-1 Azam FC (Mechi ya kirafiki 12/08/2018)

Azam FC leo imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Express ya Uganda, mchezo ukipigwa jijini Kampala ambako Azam wameweka kambi ya maandalizi ya msimu ujao wa ligi. Matokeo ya mchezo huo ni sare ya bao 1-1 ambapo Azam ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Danny Lyanga dakika ya 15, huku Express wakisawazisha dakika ya 60 kupitia kwa Matovu Roben.




« Previous Next »


Popular Tags

#Manuel Neuer  #Goalkeeper Saves  #Paul George  #Stephen Curry  #Kevin Durant  #Kawhi Leonard  #Best Goals  #Best Champions League  #Best Goals Ever  #Tristan Thompson  

Popular Users

#TheChristinaKim  #jtimberlake  #MikePereira  #selenagomez  #AdamSchefter  #TheEllenShow  #sportspickle  #ATLHawks  #DwyaneWade  #BringerOfRain20  #NiallOfficial  #NASA  #geniebouchard  #rioferdy5  #MichelleDBeadle