“Simba SC tunaweza kuifunga, Lakini nadhani kitu kinachotufanya tuwe na wasiwasi ni uwepo wa Kocha Benchikha (Abdelhak), nadhani mnafahamu ubora wake kwa sasa na namna anavyojua kusimama na mbinu zake,” “Nipo hapa kuhakikisha timu inapata wakati mzuri wa mechi hii ya Ijumaa (Machi 29), tunaamini makocha wetu watakuja na mpango mzuri wa kupata matokeo mazuri, hatujawahi kupata ushindi hapa Kwa Mkapa tukicheza na Simba SC, hili ni eneo lingine ambalo linatufanya tuwe makini na mechi hii." “Sina wasiwasi na kikosi chetu tutacheza kwa ubora wetu kupata matokeo mazuri ambayo yatatupa wepesi kabla ya mechi ya marudiano kule Cairo, tunataka kutetea ubingwa wetu msimu huu,” -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #alahly #ahmedally
Aliyekua Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Fiston Mayele ambaye aliuzwa na Klabu yake kwenda kuichezea Klabu ya Pyramida ya Misri amefunguka yote ambayo yanamsibu katika sakata lake linaloendelea kufukuta mtandaoni.#mayele #yangasc #afcon2023 #usajili #simbasc #ahmedally #alikamwe #azamfc #azamtv #michezo #burudani Endele Kutufuatilia JAhctiveTv Tumekuchagua, Tutakuhudumia
Mapya Sakata La Mayele Kutumiwa Jini / Asema Ni Kiongozi Mkubwa/ Sirudi Yanga
#tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumo Nukuu
MIRAJI MASHABIKI TUSIOSIKILIZWA TUMEMPANDISHA NDEGE KIONGOZI KWENDA KUCHUKUA TUZO 🤣 SUPU YA YANGA DAY SIO USHAMBA HATA MIMI NILIITAMANI SANA SUPU IMEWAWEKA MASHABIKI KARIBU AFL IMETUFUNDISHA UWEKEZAJI NA SIO JANJA JANJA
KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA Follow Us On: INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU TWITTER: shorturl.at/luzLZ FACEBOOK: shorturl.at/rCL12 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv