Aliyekua Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Fiston Mayele ambaye aliuzwa na Klabu yake kwenda kuichezea Klabu ya Pyramida ya Misri amefunguka yote ambayo yanamsibu katika sakata lake linaloendelea kufukuta mtandaoni.#mayele #yangasc #afcon2023 #usajili #simbasc #ahmedally #alikamwe #azamfc #azamtv #michezo #burudani Endele Kutufuatilia JAhctiveTv Tumekuchagua, Tutakuhudumia