Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Dakika 90 zinakamilika hapa Kwa Mkapa. 90+3 Azam wanapata kona, Simba wanaanua, Mudathiri anaachia muwa unapaa mawinguni. 90+2 Rashid Juma ndani Chama nje. 90+1 Chama anapiga konaKagere anaotea. Dakika 90 zinakamilika zinaongezwa daika 4 89 Manula,Kagere, Mzamiru, Moris anaanua, Kotei,Zana , Dilunga, Chama,Dilunga, Chama, Zimbwe, Mzamiru Atta eneo la hatari 88 Ngoma amacheza faulo kwa Kotei. 84 Chirwa anadondoshwa chini na Zana wanapiga faulo Aggei anashikilia bega la Kagere kichwa kinazama ndani, mwamuzi haipeleki kati, Wawa anatolewa nje. 88 Ngoma amacheza faulo kwa Kotei. 84 Chirwa anadondoshwa chini na Zana wanapiga faulo Aggei anashikilia bega la Kagere kichwa kinazama ndani, mwamuzi haipeleki kati, Wawa anatolewa nje. 83 Domayo, Wawa anachezewa rafu na Chirwa. 80 Zimbwe, Kagere, Zimbwe, Mkude, Kotei,Ngoma anakunjua shuti anampa Domayo anazamisha majalo ya moto yanazama ndani na kurudi uwanjani mwamuzi anaweka kati. 79 Ngoma, Mudathir, Wadada, Sure boy Manula anaunyaka. 77, Yassin, Chama akampa Kagere akamalizia kwa mguu wa kulia kisha wanaenda kuutafuta mpira kwenye nyavu Kager, Zana 76 Zimbwe,Kagere, Chama, Kagere Abarola ananyakua, Wawa anamuachia Manula. 75 Dilunga anapoteza eneo la hatari. 74 Abarola, Mkude, Chama, Yasin, anadodondoshwa chini na Mudathiri anapewa kadi ya njano. 73 Mpira uaendelea, nafasi ya Okwi inachukuliwa na Mzamiru. 72 bado mpira umesimama Okwi anapewa huduma ya kwanza anabebwa kwenye machela na watu wa msalaba mwekundu. 64 Boca anacheza ujanja kwa Yakubu,Sure boy anachezewa faulo na Kotei, Sure boy. 62 Kagere Offside, Muda, NgiomaWawa anakaa vizuri Wawa anachezewa faulo na Chirwa. 61 Zana anamwaga maji mpira unaytolewa nje, Okwi,Wadaa anatoa nje. 60 Abarola anaanzisha mashambulizi 59 Moris, Chama, Yakub,Sure boy,, Kangwa,Abarola, Boco anachezewa rafu 58 Manula, Wawa, Yakubu anaanua 57 Kona, Okwi wanapoteza, Chirwa anapoteza. 56 Manula anaunyaka ukiwa nje ni kona, Okwi, Bukaba Zimbwe. 55 Kagere anapaisha mpira wa Zana 53, Abarola, Mahundi anarusha, Bukaba anatoa nje, Sure, Wadada, Ngoma, Chirwa inakuwa ndefu. 52, Bocco, Chama, Zimbwe, Bocco, Mudathir ,Bukaba, Chirwa chini. 51 Mkude, Zimbwe,Wawa, KangwaAtta, Wawaanampiga kiwiko Atta. 50 Zana,anaokoa kwa kutoa nje. 49 Okwi anacheza rau, Atta Zana 48, Ngoma anatoa nje, Bukaba, Kagere amekaa chini baada ya kupigwa na Mois. 47 Manula Sure boy, Wawa anatoa nje ManulaWadada. Manula 46 Zimbwe,Abarola, Moris, Manula. 45. Ngomaanapaisha mawinguni 45 Mabadiliko kwa Azam FC Kipindi cha pili Kutinyo nje Ngoma Singano nje Ennock Atta. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Timu ya Azam FC imepata ushind wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United katika mchezo a Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam. Magoli yote yamefungwa kipindi cha pili, Stand wakitangulia kupitia kwa Hafidh Musa dakika ya 53, na kisha Azam wakarejea mchezoni na kupata mabao yao kupitia Yahya Zayd aliyefunga mawili, dakika ya 72 kwa penati na dakika ya 85 huku bao la kusawazisha la Azam FC likiwa limefungwa na Enock Atta.
Kikosi cha Azam FC kimeshuka dimbani Azam Complex Chamazi kujipima nguvu na Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya umri wa miaka 23 ambapo Azam FC imepata ushindi wa mabao 2-0. Bao la kwanza la Azam FC limefungwa na Enock Atta dakika ya 12 ya mchezo huo wa kirafiki huku dakika ya 87 Obrey Chirwa akifunga bao la pili ambalo ni la kwanza kwake tangu alipojiunga na timu hiyo hivi karibuni. Wakati Azam FC ikijiandaa na mechi zake zinazofuata za Ligi Kuu Bara, timu hiyo ya Taifa chini ya miaka 23, wao wanajianda na mchezo wa marudiano dhidi ya Burundi ambao ni wa kufuzu Kombe la Afrika mwakani. Katika mchezo wa awali, Burundi ilishinda mabao 2-0 nyumbani na mchezo wa marudiano utachezwa Jumanne ijayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara Azam Fc wamepata ushindi wa bao 1-0 ikiwa ugenini kwenye Dimba la meja Jenerali Isamuhyo katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya JKT Tanzania. Bao pekee la Azam Fc limefungwa na Yahya Zayd dakika ya 53 akimalizia pasi ya Donald Ngoma. Katika mchezo huu Azam walipata pigo kwa mchezaji wake Enock Atta kutolewa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 35. Tazama highlights.
Please watch: "MAGOLI YOTE YA SIMBA 5 - 0 MBAO" https://www.youtube.com/watch?v=lU7L3hP4BP0 --~-- SIMBA SC imezidi kuwaacha mbali wapinzani katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Hongera kwake mfungaji wa bao pekee la leo, mshambuliaji Mganda Emmanuel Arnold Okwi aliyefunga dakika ya 36 baada ya kutokea patashika kwenye lango la Azam FC kufuatia krosi ya beki Mghana, Asante Kwasi. Simba SC sasa inafikisha pointi 41 baada ya kucheza mechi 17, wakiwazidi kwa pointi saba, mabingwa watetezi, Yanga SC wenye pointi 34 katika nafasi ya pili na Azam FC wanabaki nafasi ya tatu kwa pointi zao 33. Dalili za Simba inayofundishwa na kocha Mfaransa, Pierre Lechantre anayesaidiwa na Mrundi, Masoud Juma kupata bao zilionekana mapema tu mchezo huo ulipoanza kutokana na mashambulizi yake mfululizo langoni mwa wapinzani. Azam FC walizidiwa katika safu ya kiungo na kujikuta wanawapa fursa Simba kutawala mchezo sehemu kubwa ya kipindi cha kwanza. Benchi la Ufundi la Azam chini ya Mromania, Aristica Cioaba ba mzalendo, Iddi Cheche liliona hilo na mapema kipindi cha pili wakamuingiza kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ kwenda kuchukua nafasi ya mshambuliaji Iddi Kipagwile. Mabadiliko hayo yaliipa uhai Azam FC na kuanza kupeleka mashambulizi makali langoni mwa Simba, lakini kipa namba moja nchini, Aishi Manula alisimama imara kuokoa akisaidiwa na mabeki, Yussuph Mlipili na Erasto Nyoni. Kikosi cha Simba SC kilikuwa; Aishi Manula, Shomary Kapombe, Erasto Nyoni, Yussuph Mlipili, Asante Kwasi, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Said Ndemla/Muzamil Yassin dk59, John Bocco, Emmanuel Okwi/Nicholaus Gyan dk84 na James Kotei. Azam FC; Razak Abalora, Daniel Amoah, Bruce Kangwa, Yakubu Mohammed, Aggrey Morris, Stephan Kingue, Iddi Kipagwile/Salum Abubakar ‘Sure Boy’ dk55, Frank Domayo, Mbaraka Yussuph, Yahya Zayed/Bernard Arthur dk71 na Enock Atta-Agyei.
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imeendeleza wimbi la ushindi kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) baada ya kuichapa Njombe Mji bao 1-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Sabasaba, mkoani Njombe jioni ya leo. Alikuwa ni Nahodha Msaidizi wa Azam FC, Agrey Moris aliyekuwa nahodha wa mchezo wa leo, akiihakikishia ushindi timu hiyo kwa bao safi la mkwaju wa penalti dakika ya 60 baada ya Enock Atta kufanyiwa madhambi kwenye eneo la hatari.
Karlalið Vestra er komið í átta liða úrslit í Kjörísbikarnum og fékk úrvalsdeildarliðið Þrótt R/Fylki í heimsókn í Torfnes
På fredag (22 april) påbörjas finalspelet i USM (Ungdoms-SM) i handboll i Malmö, och Eskilstuna Guifs P01-or har tagit sig hela vägen dit. Kvar återstår endast åtta lag, och killarna ser fram emot att få mäta sina krafter med de absolut bästa svenska lagen. Här träffar vi två av lagets spelare, Sebastian Westerlund och Anton Karlsson, och en av lagets tränare, Roger Jäderberg, inför avfärden mot ett riktigt äventyr. Denna intervju gjordes i Sporthallen i Eskilstuna onsdagen den 20 april 2016. Reporter och fotograf: Peter Nilsson. www.sportnisse.se www.facebook.com/sportnisse