Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Dakika 90 zinakamilika hapa Kwa Mkapa. 90+3 Azam wanapata kona, Simba wanaanua, Mudathiri anaachia muwa unapaa mawinguni. 90+2 Rashid Juma ndani Chama nje. 90+1 Chama anapiga konaKagere anaotea. Dakika 90 zinakamilika zinaongezwa daika 4 89 Manula,Kagere, Mzamiru, Moris anaanua, Kotei,Zana , Dilunga, Chama,Dilunga, Chama, Zimbwe, Mzamiru Atta eneo la hatari 88 Ngoma amacheza faulo kwa Kotei. 84 Chirwa anadondoshwa chini na Zana wanapiga faulo Aggei anashikilia bega la Kagere kichwa kinazama ndani, mwamuzi haipeleki kati, Wawa anatolewa nje. 88 Ngoma amacheza faulo kwa Kotei. 84 Chirwa anadondoshwa chini na Zana wanapiga faulo Aggei anashikilia bega la Kagere kichwa kinazama ndani, mwamuzi haipeleki kati, Wawa anatolewa nje. 83 Domayo, Wawa anachezewa rafu na Chirwa. 80 Zimbwe, Kagere, Zimbwe, Mkude, Kotei,Ngoma anakunjua shuti anampa Domayo anazamisha majalo ya moto yanazama ndani na kurudi uwanjani mwamuzi anaweka kati. 79 Ngoma, Mudathir, Wadada, Sure boy Manula anaunyaka. 77, Yassin, Chama akampa Kagere akamalizia kwa mguu wa kulia kisha wanaenda kuutafuta mpira kwenye nyavu Kager, Zana 76 Zimbwe,Kagere, Chama, Kagere Abarola ananyakua, Wawa anamuachia Manula. 75 Dilunga anapoteza eneo la hatari. 74 Abarola, Mkude, Chama, Yasin, anadodondoshwa chini na Mudathiri anapewa kadi ya njano. 73 Mpira uaendelea, nafasi ya Okwi inachukuliwa na Mzamiru. 72 bado mpira umesimama Okwi anapewa huduma ya kwanza anabebwa kwenye machela na watu wa msalaba mwekundu. 64 Boca anacheza ujanja kwa Yakubu,Sure boy anachezewa faulo na Kotei, Sure boy. 62 Kagere Offside, Muda, NgiomaWawa anakaa vizuri Wawa anachezewa faulo na Chirwa. 61 Zana anamwaga maji mpira unaytolewa nje, Okwi,Wadaa anatoa nje. 60 Abarola anaanzisha mashambulizi 59 Moris, Chama, Yakub,Sure boy,, Kangwa,Abarola, Boco anachezewa rafu 58 Manula, Wawa, Yakubu anaanua 57 Kona, Okwi wanapoteza, Chirwa anapoteza. 56 Manula anaunyaka ukiwa nje ni kona, Okwi, Bukaba Zimbwe. 55 Kagere anapaisha mpira wa Zana 53, Abarola, Mahundi anarusha, Bukaba anatoa nje, Sure, Wadada, Ngoma, Chirwa inakuwa ndefu. 52, Bocco, Chama, Zimbwe, Bocco, Mudathir ,Bukaba, Chirwa chini. 51 Mkude, Zimbwe,Wawa, KangwaAtta, Wawaanampiga kiwiko Atta. 50 Zana,anaokoa kwa kutoa nje. 49 Okwi anacheza rau, Atta Zana 48, Ngoma anatoa nje, Bukaba, Kagere amekaa chini baada ya kupigwa na Mois. 47 Manula Sure boy, Wawa anatoa nje ManulaWadada. Manula 46 Zimbwe,Abarola, Moris, Manula. 45. Ngomaanapaisha mawinguni 45 Mabadiliko kwa Azam FC Kipindi cha pili Kutinyo nje Ngoma Singano nje Ennock Atta. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars