GOLI LA OKWI SIMBA 1-0 AZAM by @ShutikaliTV - Post Details

GOLI LA OKWI SIMBA 1-0 AZAM

Please watch: "MAGOLI YOTE YA SIMBA 5 - 0 MBAO" https://www.youtube.com/watch?v=lU7L3hP4BP0 --~-- SIMBA SC imezidi kuwaacha mbali wapinzani katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Hongera kwake mfungaji wa bao pekee la leo, mshambuliaji Mganda Emmanuel Arnold Okwi aliyefunga dakika ya 36 baada ya kutokea patashika kwenye lango la Azam FC kufuatia krosi ya beki Mghana, Asante Kwasi. Simba SC sasa inafikisha pointi 41 baada ya kucheza mechi 17, wakiwazidi kwa pointi saba, mabingwa watetezi, Yanga SC wenye pointi 34 katika nafasi ya pili na Azam FC wanabaki nafasi ya tatu kwa pointi zao 33. Dalili za Simba inayofundishwa na kocha Mfaransa, Pierre Lechantre anayesaidiwa na Mrundi, Masoud Juma kupata bao zilionekana mapema tu mchezo huo ulipoanza kutokana na mashambulizi yake mfululizo langoni mwa wapinzani. Azam FC walizidiwa katika safu ya kiungo na kujikuta wanawapa fursa Simba kutawala mchezo sehemu kubwa ya kipindi cha kwanza. Benchi la Ufundi la Azam chini ya Mromania, Aristica Cioaba ba mzalendo, Iddi Cheche liliona hilo na mapema kipindi cha pili wakamuingiza kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ kwenda kuchukua nafasi ya mshambuliaji Iddi Kipagwile. Mabadiliko hayo yaliipa uhai Azam FC na kuanza kupeleka mashambulizi makali langoni mwa Simba, lakini kipa namba moja nchini, Aishi Manula alisimama imara kuokoa akisaidiwa na mabeki, Yussuph Mlipili na Erasto Nyoni. Kikosi cha Simba SC kilikuwa; Aishi Manula, Shomary Kapombe, Erasto Nyoni, Yussuph Mlipili, Asante Kwasi, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Said Ndemla/Muzamil Yassin dk59, John Bocco, Emmanuel Okwi/Nicholaus Gyan dk84 na James Kotei. Azam FC; Razak Abalora, Daniel Amoah, Bruce Kangwa, Yakubu Mohammed, Aggrey Morris, Stephan Kingue, Iddi Kipagwile/Salum Abubakar ‘Sure Boy’ dk55, Frank Domayo, Mbaraka Yussuph, Yahya Zayed/Bernard Arthur dk71 na Enock Atta-Agyei.

Similar Posts!

FRIJI BOVU - AUVUJISHA TENA USAJILI MPYA SIMBA | KARIM KIMVUIDI KIUNGO MSHAMBULIAJI | AMFUNIKA AHOUA
FRIJI BOVU - AUVUJISHA TENA USAJILI MPYA SIMBA | KARIM KIMVUIDI KIUNGO MSHAMBULIAJI | AMFUNIKA AHOUA

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



FRIJI BOVU - FEI TOTO KUKIWASHA NA ELIE MPANZU SIMBA | AKATAA KUSAINI MKATABA MPYA  AZAM | TETESI
FRIJI BOVU - FEI TOTO KUKIWASHA NA ELIE MPANZU SIMBA | AKATAA KUSAINI MKATABA MPYA AZAM | TETESI

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



KIPIGO CHA YANGA SHABIKI ACHUKIA | AWACHANA VIONGOZI SIENDI TENA UWANJANI
KIPIGO CHA YANGA SHABIKI ACHUKIA | AWACHANA VIONGOZI SIENDI TENA UWANJANI

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



STEVEN WA AL HILAL ATAMANI KUSAJILIWA SIMBA BAADA YA MECHI YA KIRAFIKI
STEVEN WA AL HILAL ATAMANI KUSAJILIWA SIMBA BAADA YA MECHI YA KIRAFIKI

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



MAJIBU YA JONAS MKUDE AFUNGUKA KUONDOKA YANGA BAADA Final YA CRDB ZANZIBAR
MAJIBU YA JONAS MKUDE AFUNGUKA KUONDOKA YANGA BAADA Final YA CRDB ZANZIBAR

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



DUUUH!!!!_Tazama alichofanya ally kamwe / Mobeto apagawa washikana mikono
DUUUH!!!!_Tazama alichofanya ally kamwe / Mobeto apagawa washikana mikono

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



CHECHE ZA AHMED ALLY SIMBA BAADA YA KUIFUNGA JWANENG GALAXY GOLI 6-0
CHECHE ZA AHMED ALLY SIMBA BAADA YA KUIFUNGA JWANENG GALAXY GOLI 6-0

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#