Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amekutana na kuwapongeza wachezaji wa klabu ya wanawake ya Naegohyang waliotwaa ubingwa wa Asia, pamoja na timu ya wasichana chini ya miaka 17, ambapo wote walionyesha furaha kubwa na hata kulia kwa hisia. Timu hiyo pia ilishinda dhidi ya timu ya Japan na imefuzu mashindano ya kimataifa yajayo, jambo linaloonyesha mafanikio makubwa ya soka la wanawake nchini Korea Kaskazini. #bbcswahili #kimjongun🇰🇵 #koreakaskazini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
MECHI YA KUFUZU KWA KOMBE LA WANAWAKE AFRIKA Kenya kuchuana na Tunisia kesho kwenye mechi ya marudiano ...
#TWPL Tazama magoli ya Simba SC yaliyopatikana ndani ya dakika 90 za mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania 2025 kati ya Mlandizi Queens dhidi Simba Queeens; huku Asha Djafari na Jentrix Shikangwa... wakipiga Hat-trick katika mchezo huo. #TanzaniaWomensPremierLeague #LigiKuuWanawake #TWPLUpdates #MlandiziQueens #SimbaQueens #MlandiziSimba
SUBSCRIBE NOW: 🌐 Site: https://simbasc.co.tz/ 📱 App Store - https://apps.apple.com/tz/app/simba-sc/id1564389213 📱 Play Store - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.simbasc&hl=en 🔵 Facebook: https://www.facebook.com/simbatanzania/ 📸 Instagram: https://www.instagram.com/simbasctanzania 𝕏 Twitter: https://twitter.com/SimbaSCTanzania 🎶 Tiktok: https://www.tiktok.com/@simbascofficial About the Official Simba SC YouTube Channel: Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference 🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Leo Februari 10,2024 Klabu ya Yanga imefanya Wananchi Mbeya Jogging ikiwa ni Sherehe za maadhimisho ya miaka 89 ya Klabu hiyo,Zinazofanyika Jijini Mbeya. Pia wametembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya,Kitengo cha Wazazi na Magonjwa ya Wanawake Meta, kuwajulia hali Wagonjwa na kuwapatia Zawadi mbalimbali.
Simba Queens imetinga fainali ya Ngao ya Jamii kwa wanawake, ikiwapiga watani zake Yanga Princess kwa penati 5-4 baada ya dakika 90 kumalizika bila goli katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Hizi hapa ni penati zote kumi zilzoamua mchezo.... lakini kutazama highlights za dakika 90 za mchezo ingia hapa https://www.youtube.com/watch?v=m0VqtULsaTA
KUFUZU AFCON WANAWAKE: Timu ya Taifa ya Wanawake, #TwigaStars imeitupa nje Ivory Coast kwa mikwaju ya penati 4-2 baada ya kupindua matokeo ya 2-0 na kufanya matokeo ya jumla kuwa 2-2. Ni katika mchezo wa marudiano kuwania tiketi ya kufuzu AFCON kwa Wanawake #WAFCON uliopigwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Kwenye mchezo huo, Twiga Stars imepata mabao yake kupitia kwa Donisia Minja dakika ya 50 na Opah Clement dakika ya 52 kabla ya kenda kwenye matuta.... Haya hapa magoli mawili na mikwaju yote tisa ya penati.
#LIVE: JKT QUUENS VS YANGA PRINCESS | LIGI KUU YA WANAWAKE