Magoli na Penati | Tanzania 2-0 Ivory Coast (pen:4-2) | Kufuzu WAFCON 26/09/2023
Magoli na Penati | Tanzania 2-0 Ivory Coast (pen:4-2) | Kufuzu WAFCON 26/09/2023

KUFUZU AFCON WANAWAKE: Timu ya Taifa ya Wanawake, #TwigaStars imeitupa nje Ivory Coast kwa mikwaju ya penati 4-2 baada ya kupindua matokeo ya 2-0 na kufanya matokeo ya jumla kuwa 2-2. Ni katika mchezo wa marudiano kuwania tiketi ya kufuzu AFCON kwa Wanawake #WAFCON uliopigwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Kwenye mchezo huo, Twiga Stars imepata mabao yake kupitia kwa Donisia Minja dakika ya 50 na Opah Clement dakika ya 52 kabla ya kenda kwenye matuta.... Haya hapa magoli mawili na mikwaju yote tisa ya penati.



Mchezaji anayevaa ushungi Uwanjani afunguka kupewa tuzo Afrika Kusini
Mchezaji anayevaa ushungi Uwanjani afunguka kupewa tuzo Afrika Kusini

Mchezaji anae Vaa kiislamu Uwanjani afunguka kupewa tuzo south africa Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Twiga Stars Watinga fainali COSAFA, GOLI Waliloifunga Zambia (Penati 3-2)
Twiga Stars Watinga fainali COSAFA, GOLI Waliloifunga Zambia (Penati 3-2)

#Cosafa #TwigaStars #YimuyaTaifa SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1





Popular Tags

#Zlatan Ibrahimovi  #Neymar  #Paul George  #Philadelphia 76ers  #Lionel Messi  #Counter Attack Goals Football  #Cristiano Ronaldo  #Kobe Bryant  #Neymar  #Mesut Ozil  

Popular Users

#RobGronkowski  #JasonDufner  #Harry_Styles  #TheCUTCH22  #JayBilas  #alexmorgan13  #mcuban  #LilTunechi  #MieshaTate  #tigerwoods  #KDTrey5  #MichelleDBeadle  #narendramodi  #UKCoachCalipari