Kuelekea dabi ya kariakoo ya ligi ya wanawake ya Serengeti, wachezaji wa Yanga wakiume Benard Morison na Aziz Ki wamekutana na wachezaji wa Yanga Princes na kuzungumza mambo kadhaa. . Fungua video hii kuwasikia.
Ligi ya mabingwa wanawake SIMBA QUEENS Vs GREEN BUFFALOES.
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Leo Tarehe 27/8/2022 ni Mtanange wa Fainali ya michuano ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake ukanda wa CECAFA kati ya Simba Queens dhidi ya She Corporates kutoka Uganda, Mchezo Unaochezwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi, Saa Moja Usiku.
KUFUZU LIGI YA MABINGWA WANAWAKE: Tazama highlights, Simba Queens ilipoiadhibu Garde Republicaine ya Djibouti ...
Tazama highlights jinsi mabingwa #SimbaQueens walivyoichapa #BaobabQueens katika mchezo wa mwisho wa ligi kuu ya ...
Mabingwa wa ligi kuu ya wanawake Tanzania bara, Simba Queens wameitandika baobab Queens mabao 3-0 katika mchezo wa mwisho wa ligi hiyo uliochezwa kwenye Dimba la Uhuru, jijini Dar es Salaam. Magoli ya Simba Queens kwenye mchezo huu yamefungwa na Pambani kuzoya dakika ya 2, Asha Jaffary dakika ya 50 na Joelle Bukuru dakika ya 90'
Tazama magoli yote wakati Yanga Princess ikishushiwa kichapo cha mabao 1-4 kwenye mchezo wa Ligi ya Wanawake Tanzania