EXCLUSIVE: AZIZ KI AWAITA MASHABIKI WA YANGA NJOONI JUMAMOSI DHIDI YA AL-MERRIKH AKOSHWA NA KI DAY
EXCLUSIVE: AZIZ KI AWAITA MASHABIKI WA YANGA NJOONI JUMAMOSI DHIDI YA AL-MERRIKH AKOSHWA NA KI DAY

''Nimefurahi sana baada ya kupewa taarifa kuwa hii wiki itaitwa jina langu. Mimi kama mchezaji jukumu langu ni kucheza na sina aahadi nyingine yoyote kwa wananchi kwasababu hakuna anaefahamu kesho hivyo nawaomba wajitokeze kwa wingi kupata burudani siku ya jumamosi pale Azam Complex. Msimu uliyopita na msimu huu umekua tofauti kwangu niseme tu ni mapenzi ya mungu jitihada zangu ndio zinasababisha vitu vyote hivi mimi kuonekana Bora namshukuru sana mungu'-Aziz ki



JEMEDAR SAID AMVAA AHMED ALLY KISA GIFT FRED NA TIMU YA TAIFA UGANDA/ALIITWA TAARIFA IPO TFF/YANGA
JEMEDAR SAID AMVAA AHMED ALLY KISA GIFT FRED NA TIMU YA TAIFA UGANDA/ALIITWA TAARIFA IPO TFF/YANGA

๐— ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—ง๐˜ƒ ๐Ÿ“บ๐Ÿ”ฅ ๐—ฆ๐—ฒ๐—ต๐—ฒ๐—บ๐˜‚ ๐—ฝ๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐—บ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐—ท๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ก๐—ท๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ. ๐— ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—ง๐˜ƒ ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐˜†๐—ผ ๐˜€๐—ฒ๐—ต๐—ฒ๐—บ๐˜‚ ๐˜€๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐—ต๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜„๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐—น๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฟ๐˜‚๐—ณ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐—จ๐—น๐—ถ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฒ๐˜๐—ฒ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ต๐—ผ๐—ท๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ๐˜‚, ๐—ช๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฆ๐—ผ๐—ธ๐—ฎ... ๐—”๐˜€๐—ฎ๐—ป๐˜๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐˜๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ด๐˜‚๐—ฎ๐Ÿ™ ๐— ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—ง๐˜ƒ ๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐˜†๐—ผ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—•๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ถ ๐Ÿ‘‡ ๐—บ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ.๐—ผ๐—ฟ๐—ด@๐—ด๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐—น.๐—ฐ๐—ผ๐—บ | ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ก๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฟ: 0657424429 | ๐—œ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ @๐—บ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜…2 @๐—บ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜๐˜ƒ



HASHEEM IBWE AWAPONGEZA SIMBA/AWAVAA MASHABIKI WA YANGA WALIOMZOMEA FEITOTO/"ANAPENDA SANA KUZOMEWA"
HASHEEM IBWE AWAPONGEZA SIMBA/AWAVAA MASHABIKI WA YANGA WALIOMZOMEA FEITOTO/"ANAPENDA SANA KUZOMEWA"

Leo August 13 2023,katika Dimba la Mkwakwani jijini Tanga inapigwa mbungi ya Fainali ya Ngao ya Jamii 2023 kati ya Yanga SC na Simba SC,Saa Moja Usiku. Huku majira ya Saa 9 Alasiri ukupigwa Mchezo wa Kutafuta Mshindi wa 3 kati ya Azam FC dhidi ya Singida Fountain Gate FC Mpenja TV tunakuletea taarifa za matukio yote yatakayojiri kwenye mbungi hiyo.



SHABIKI AZAM FC AMWAGA MACHOZI KISA AZIZ KI/"NILIZIMIA KUAMKA NAKUTA 2-0/TUNAUMIA SANA MASHABIKI"
SHABIKI AZAM FC AMWAGA MACHOZI KISA AZIZ KI/"NILIZIMIA KUAMKA NAKUTA 2-0/TUNAUMIA SANA MASHABIKI"

Leo August 9 2023,katika Dimba la Mkwakwani jijini Tanga inapigwa mbungi ya nusu fainali ya kwanza ya ngao ya jamii 2023 kati ya Yanga SC na Azam FC,Saa moja Usiku. Mpenja TV tunakuletea taarifa za matukio yote yatakayojiri kwenye mbungi hiyo.



Karibu Young Africans SC Hafiz Konkoni๐Ÿ”ฐ
Karibu Young Africans SC Hafiz Konkoni๐Ÿ”ฐ

Taarifa zaidi tembelela Yanga APP #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko.



YANGA KUKIPIGA NA AS VITA MECHI YA KIRAFIKI?/ALLY KAMWE AWEKA WAZI/MSHAMBULIAJI MPYA KUTUA LINI?
YANGA KUKIPIGA NA AS VITA MECHI YA KIRAFIKI?/ALLY KAMWE AWEKA WAZI/MSHAMBULIAJI MPYA KUTUA LINI?

Mpenja Tv tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Ally Shaban Kamwe kuhusu Uwepo wa mchezo wa Kirafiki kipindi hiki cha Maandalizi kwa ajili ya Msimu ujao wa 2023/24 Ally Kamwe amejibu taarifa ambazo zinaenea uwepo wa Mchezo wa Kirafiki dhidi ya AS Vita Je Mchezo upo au haupo? Amejibu yote hapa Ally Kamwe.....




« Previous Next »


Popular Tags

#Kawhi Leonard  #Zlatan Ibrahimovi  #Manuel Neuer  #Shaquille O'Neal  #Best Football Defending Skills  #Paul Pogba  #Lionel Messi  #Counter Attack Goals Football  #Chris Paul  #Neymar  

Popular Users

#imVkohli  #josecanseco  #DanicaPatrick  #cnnbrk  #Harry_Styles  #BadgerMBB  #realDonaldTrump  #mcuban  #LAKings  #akshaykumar  #b_ryan9  #sydneyleroux  #TheNotoriousMMA  #kobebryant  #Ky1eLong