Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC wamepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu, wakichapwa 3-2 na Dodoma Jiji, mchezo, mchezo ukipigwa Airtel Stadium, Singida. Magoli ya Yanga yamefungwa na Allan Okello dakika ya 2 na 41, huku magoli ya Dodoma Jiji yakitoka kwa Bakari Mwamnyeto aliyejifunga dakika ya 29, Mwana Kibuta David dakika ya 90 na Wazir Junior Shemtembo dakika za nyongeza. Haya hapa magoli yote..
Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
CAF AWARDS 2025 | Hivi ndivyo nyota magwiji wa soka la Afrika, Asamoah Gyan na Manucho walivyomtangaza Clement Mzize (Yanga SC) kuwa mshindi wa tuzo ya goli bora la mwaka. Pia sikiliza alichokisema Clement mwenyewe kuhusu tuzo hiyo akitoa shukrani zake kwa CAF, wachezaji wenzake, benchi la ufundi, na wote waliompigia kura. Mzize anasema “…hii ni ya kwetu wote” Goli lenyewe ni lile alilowafunga TP Mazembe kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, msimu uliopita…Yanga ikishinda 3-1 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Januari 4, 2025. Ni usiku wa tuzo kwa waafrika waliofanya vizuri kwenye ulimwengu wa soka mwaka 2025. Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #CAFAwards2025 #CAFAwards #TuzoZaCAF
Bir zamanlar Real Madrid və Tottenham formasıyla milyonların sevimlisi olan Gareth Bale indi tanınmaz vəziyyətdədir!
KARIAKOO DEEBY | Fahamu ukweli kuhusu matukio yote yaliyozua utata kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba uliopigwa Septemba 16, 2025. Moja kati ya matukio yaliyozua gumzo ni goli pekee walilofunga Yanga na kuamua mshindi wa Ngao ya Jamii 2025. Osman Kazi na jopo lake wanamaliza utata kwa kutumia sheria na kanuni za soka