Je, rais wa Marekani anaweza kubadili adhabu ya Kombe la Dunia? Hilo ndilo swali linalotikisa dunia ya soka. Baada ya mshambuliaji wa Marekani Folarin Balogun kuonyeshwa kadi nyekundu dhidi ya Bosnia alitakiwa kukosa mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Ubelgiji. Mwandishi wa BBC Nasteha Mohamed @naste6295 na taarifa zaidi - - #bbcswahili #kandanda #kombeladunia2026 #foryouシ Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Kwanini Afrika iliishangilia Mexico dhidi ya Afrika Kusini katika mechi ya Kombe la Dunia? Baadhi ya mashabiki barani Afrika waliamua kuishangilia Mexico dhidi ya Afrika Kusini (Bafana Bafana) katika mechi ya ufunguzi ya Kombe la Dunia 2026 kama njia ya kupinga chuki na mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya wageni. Je, michezo inapaswa kutenganishwa na siasa na migogoro ya kijamii au haya ndiyo matokeo ya kile kinachoendelea Kusini? #bbcswahili #mexico #afrikakusini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Mtangazaji Mwandamizi wa soka nchini, Baraka Adson Lamsi Mpenja, maarufu Mwamba wa Umalila, Fahari ya Itete, Sauti ya Radi, amekutana na kufanya Mazungumzo maalumu na Watangazaji vinara wa kandanda kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo. Wamezichambua mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Machi 29, Simba vs Al Ahly na Machi 30, Yanga vs Mamelodi Sundowns.
Wasikie Wachambuzi mahiri wa kandanda ndani ya Sports AM ya #AzamSports1HD, Ramadhani Mbwaduke, Clarence Kunambi ...
Msikie Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa maamuzi mbalimbali ya Waamuzi kwenye ...
Tazama kipindi cha Kipyenga cha Mwisho na Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa ...
Msikie Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa baadhi ya maamuzi kwenye mechi ya NBC ...
Huyu hapa Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda Nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa maamuzi ya Waamuzi, Wachezaji na Mabenchi ya Ufundi kwenye mechi ya Yanga SC Vs Ihefu, Simba SC Vs Mbeya City na Geita Gold Vs Dodoma Jiji. KIPYENGA CHA MWISHO ni kila Alhamis saa 3:30 Usiku kupitia #AzamSports1HD