Prisijunkite 👉🖐️ https://www.youtube.com/channel/UC0jgtGY99WwWWixOhX4Vglw/join Ačiū kad padedate kurti! #rinktine25 #jokubaitis #eurobasket #valanciunas #tubelis #suomija #kurtinaitis #Markkanen #Finald #eurobasket2025
Yanga SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rayon Sports, katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Dimba la Amahoro, jijini Kigali, Rwanda. Mchezo huo uliokuwa hitimisho la Siku ya Rayon Sports #RayonSportsDay , umeshuhudia wenyeji wakitangulia kwa goli la kujifunga kupitia kwa Aziz Andambwile. Yanga walicharuka na kupiga mabao matatu kupitia kwa Andy Boyeli, Pacome Zouzoua, na Bakari Mwamnyeto.