ALLY KAMWE" SIMBA WAMEFUNGWA MDOMO/TUTAWAFUNGA 5G TENA/DODOMA JIJI MENEJA WAO KAWAPONZA
ALLY KAMWE" SIMBA WAMEFUNGWA MDOMO/TUTAWAFUNGA 5G TENA/DODOMA JIJI MENEJA WAO KAWAPONZA

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amewasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB,utakaochezwa Saa 2:00 usiku,Uwanja wa Jamhuri.



🔴LIVE: MUDA HUU RAIS WA YANGA ALIA NA V.A.R GOLI LA AZIZ KI ATOA NENO HILI YANGA IKITOKA
🔴LIVE: MUDA HUU RAIS WA YANGA ALIA NA V.A.R GOLI LA AZIZ KI ATOA NENO HILI YANGA IKITOKA

Pata habari na uchambuzi mbalimbali wa kimichezo, ligi kuu ya soka Tanzania bara, mashindano ya Azam, klabu bingwa barani Afrika, Simba timu pekee ukanda wa CECAFA inawakilisha wakati Yanga wakiwakilisha kwenye michuano ya Shirikisho Afrika. #cafconfiderationcup #sports #football #live #simbasc #nbcpremierleague #africasuperleague #jehova #jesus #christmas #jerusalem #prophetess #bbc #bbcnews #israel #fifaworldcup #fifa #cafchampionsleague #basketball #marathon #online #tbc



🟡Duh!Live Manara Anaichambua Droo Ya Robo Final CAF/Yanga Hii Hata Tupewe Mamelod Hakuna Atakayeamin
🟡Duh!Live Manara Anaichambua Droo Ya Robo Final CAF/Yanga Hii Hata Tupewe Mamelod Hakuna Atakayeamin

DROO YA ROBO FAINAL KOMBE LA SHIRIKISHO NA LIGI YA MABINGWA AFRIKA KUFANYIKA LEO. Msemaji wa Klabu ya Yanga Haji Manara anazungumza na Watanzania kuelekea Droo Ya robo Fainali Kombe la Shirikisho na ligi Ya mabingwa Africa inafanyika leo saa 9:00 Alasiri nchini Misri Ambapo Tanzania itawakilishwa na Simba na Yanga Kwenye ligi ya Mabingwa Afrika huku Manara akiweka wazi nafasi ya Yanga kufuzu Nusu Final kutokana na aina ya mpinzani watakayepangiwa Vilabu ambavyo vimefuzu robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Kuna Al Ahly (Egypt), ASEC Mimosas (Cote d’Ivoire), Mamelodi Sundowns (South Africa), Atletico Petroleos (Angola), TP Mazembe (DR Congo), Simba SC (Tanzania), Esperance Sportive de Tunis (Tunisia), Young Africans (Tanzania). kombe la Shirikisho Kuna USM Alger (Algeria), Zamalek (Egypt), Dreams FC (Ghana), RS Berkane (Morocco), Modern Future (Egypt), Abu Salem (Libya), Rivers United (Nigeria), Stade Malien (Mali). #manara #yangasc #caf #drooyacaf #hajimanara #manaratv #simbawc #alikamwe #ahmedally #azamtv #azamfc #ligikuu #michezo #burudani #tff #nbc #gsm Endelea Kutufuatilia JAhctiveTv Tumekuchagua, Tutakuhudumia




« Previous Next »


Popular Tags

#Anthony Davis  #Mesut Ozil  #Michael Jordan  #Lionel Messi  #Kevin Durant  #Zlatan Ibrahimovi  #Zlatan Ibrahimovi  #Gareth Bale  #Ronaldinho  #Best Football Defending Skills  

Popular Users

#JLo  #steveaustinBSR  #nytimes  #JohnCena  #rolopez42  #lindseyvonn  #Drake  #TheRealJRSmith  #BillGates  #JoelEmbiid  #geniebouchard  #ArianFoster  #Buster_ESPN  #alexmorgan13