Link ya kujiunga na magroup yetu, JAMVIKA NA SALAMBA. https://chat.whatsapp.com/HKTTvxUEMbQ5cVkFFsjWZw Tunatoa huduma ya Ubashiri wa matokeo ya mechi, Tunatoa mikeka kwa njia ya sms za kawaida zinazowafikia watumiaji wa huduma zetu kila siku, Kuanzia: Saa 5:30 asubuhi : KIFURUSHI CHA PREMIUM Saa 7:30 mchana : KIFURUSHI CHA V.I.P
Mtangazaji wa soka kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga ametoa mtazamo wake kiundani mchezo wa Machi 17,2024 wa Ligi Kuu ya NBC PL kati ya Azam FC na Yanga SC, utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa,Saa 2:15 usiku.
Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : ►SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/channel/UCZFvoDR_NaJ65zmsIibpFeQ?sub_confirmation=1 ►Instagram https://www.instagram.com/tv3tz ►TikTok https://www.tiktok.com/@tv3tz ►Facebook https://www.facebook.com/tv3tanzania ►Twitter https://twitter.com/Tv3Tanzania #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish) RATIBA ZA VIPINDI VYETU DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU #Tv3Tanzania #GameOn #Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala #foundertz
DROO YA ROBO FAINAL KOMBE LA SHIRIKISHO NA LIGI YA MABINGWA AFRIKA KUFANYIKA LEO. Msemaji wa Klabu ya Yanga Haji Manara anazungumza na Watanzania kuelekea Droo Ya robo Fainali Kombe la Shirikisho na ligi Ya mabingwa Africa inafanyika leo saa 9:00 Alasiri nchini Misri Ambapo Tanzania itawakilishwa na Simba na Yanga Kwenye ligi ya Mabingwa Afrika huku Manara akiweka wazi nafasi ya Yanga kufuzu Nusu Final kutokana na aina ya mpinzani watakayepangiwa Vilabu ambavyo vimefuzu robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Kuna Al Ahly (Egypt), ASEC Mimosas (Cote d’Ivoire), Mamelodi Sundowns (South Africa), Atletico Petroleos (Angola), TP Mazembe (DR Congo), Simba SC (Tanzania), Esperance Sportive de Tunis (Tunisia), Young Africans (Tanzania). kombe la Shirikisho Kuna USM Alger (Algeria), Zamalek (Egypt), Dreams FC (Ghana), RS Berkane (Morocco), Modern Future (Egypt), Abu Salem (Libya), Rivers United (Nigeria), Stade Malien (Mali). #manara #yangasc #caf #drooyacaf #hajimanara #manaratv #simbawc #alikamwe #ahmedally #azamtv #azamfc #ligikuu #michezo #burudani #tff #nbc #gsm Endelea Kutufuatilia JAhctiveTv Tumekuchagua, Tutakuhudumia
Leo Machi 6,2024 Mnyama Simba anashuka Dimba la Jamhuri Morogoro kumenyana na Wajelajela Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi kuu ya NBC ,Saa 10:00 jioni.
Leo Machi 2,2024 Simba SC inaikaribisha Jwaneng Galaxy ya Botswana katika Uwanja wa Benjamin Mkapa,kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi,Saa 1:00 usiku.
Kikosi cha Yanga SC kimefanya mazoezi yao ya mwisho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya Mchezo wa Februari 24,2024 wa ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya CR Belouizdad,Utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa,Saa 1:00 jioni.
Ungana nasi katika kuyang'amua yaliyojiri kwenye ulimwengu wa michezo. U LIVE ni kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa 1:00 usiku. Tunakuweka Karibu na Michezo.