Content removal request!


MZINGA: KESHO NI DERBY YA FEI TOTO NA MUDATHIR/YANGA NA AZAM NI DABI YENYE MVUTO/MPIRA UTATEMBEA....

Mtangazaji wa soka kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga ametoa mtazamo wake kiundani mchezo wa Machi 17,2024 wa Ligi Kuu ya NBC PL kati ya Azam FC na Yanga SC, utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa,Saa 2:15 usiku.