🛑#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA
🛑#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA

#Yangasc #Yangaleo #alikamwe #usajilimpyayanga #Enghersi Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Justice Figuareido kutoka Chipa United South Africa raia wa Eswatin ,TAKWIMU ZA JUSTICE FIGUAREIDO | MSIMU WA 2025/26 🇸🇿 Nyota wa kimataifa wa Eswatini, Justice Figuareido, ambaye hucheza kama winga na pia mshambuliaji wa kati 🇿🇦 BETWAY PREMIERSHIP (Chippa United) ⚽ Mechi: 26 🥅 Magoli: 2 🎯 Asisti: 5 ⏱️ Dakika alizocheza: 1,858 🌍 FIFA World Cup Qualifiers (Eswatini) 🇸🇿 Mechi: 9 ⚽ Magoli: 3 2. Thulani Gumede winga huyu kutoka Richardbay ya Afrika kus Rasmi niko hapa kuthibitisha Young Africans SC 🇹🇿 ipo hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa Winga Thulani Gumede mwenye umri wa miaka (25) raia wa Afrika Kusini 🇿🇦 kutoka Richards Bay FC kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao 2026-27. Thulani Gumede ni pendekezo la kocha mpya wa Klabu hiyo Manqoba Mngqithi, Hii ni mara baada ya kumkosa Winga Keletso Makgalwa aliyetimkia Simba SC kwa ushawishi mkubwa zaidi wa kocha Steve Barker, Gumede ana uwezo wa Kucheza Winga ya Kulia na Kushoto kwa ustadi mkubwa, Akiwa na Richards Bay amefunga Mabao (5) na Assists (5) katika Mechi (64). 3.Nasri Kombo Kutoka TRA United 4.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi/Winga Mashujaa 5.Azizi Ki 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Samba Kone Kutoka Muna FC ya Ivory Coast Mlinzi wa Kushoto 8.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate . Emmanuel Flomo 🔹Klabu ya wananchi Yanga imefikia makubaliano binafsi (personal terms) na winga hatari wa kulia wa Liberia na klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan,Emmanuel Flomo (18). -Yanga wanajaribu utaratibu wa kuvunja mkataba wa mchezaji huyo katika klabu yake ya Al Hilal ya Sudan. -Flomo amefunga mabao 12 Msimu uliopita na kuibuka mchezaji chipukizi katika ligi ya Rwanda. Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy free agent 8. Farid Mussa free agent 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma 13. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda Singida 14. Bakari Mwamnyeto mchezaji huru mkataba imeisha amepunguziwa mshahara na anasubiriw asaini 15. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Wachezaji wa Kigeni waliosalama Yanga Sc 1.🇲🇱 Djigui Diarra 2.🇨🇮 Yao Kouassi 3.🇰🇪 Duke Abuya 4.🇨🇩 Maxi Nzengeli 5. 🇦🇴 Laurindo Depu 6.🇺🇬 Allan Okello 7.🇨🇮 Pacome Zouzoua Kwa undani Zaidi tumekuwekea video nzima hapa MABENA TV Subscribe upate mengi Zaidi



🛑#LIVE YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI AZIZ KI, KOUTIAMA KOMBO NA WENGINE HAWA, YAACHANA NA HAWA WOTE 12
🛑#LIVE YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI AZIZ KI, KOUTIAMA KOMBO NA WENGINE HAWA, YAACHANA NA HAWA WOTE 12

#Yangasc #Tetesizausajili #UsajilimpyaYangasc Fagio la CHUMA limepita Bila huruma jangwani Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy 8. Farid Mussa 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma Wachezaji wanaosajiliwa Yanga 1. Yves Koutiama mshambuliaji wa Burkina Faso Na police Kenya magoli 11 mechi 17 ameingia dirisha Dogo 2. Juma Abushir AKA Messi wa Chuga Miaka 18 attacking midfield kutoka Fountain Gate alihitajika krc Genk ,yanga wametoa Milion 100 kuvunja mkataba na atalipwa mshahara wa Milion 5 Kila mwezi kutoka kulipwa Laki 6 3. Nasri Kombo beki kutoka TRA United deal done 4. Azizi Ki wanasubiri avunje mkataba na Al Ittihad 5.Samba Kone mrithi wa Shadrack Boka LB & CB assist 6 Miaka 23 ivory Coast Yanga wanamtaka mlinzi wa kushoto wa Mouna FC raia wa Ivory Coast 🇨🇮,Samba Koné (23) ✅Yanga wanamuona Kone kama mbadala sahihi wa Boka. ❌Kone anamaliza mkataba wake na Mouna FC,june 30 mwaka huu. Mchezaji huyo amewahi kupita Paradou FC ya Algeria 🇩🇿. Msimu huu Kone katoa assist (4) huku akitajwa kama beki bora wa kushoto kwenye ligi ya Ivory Coast. 6. Klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa nyota wa klabu ya Anzoategui FC (Academia Anzoategui) inayoshiriki Ligi daraja la pili nchini Venezuela (FUTVE 2) Guillermo Leon Marin Pino maarufu kwa jina la Memo mwenye umri wa miaka (24). Pino anaweza kucheza nafasi mbalimbali kama vile Winga wa kulia (RW), Winga wa kushoto (LW) na kiungo Mshambuliaji. Kabla ya kujiunga na Anzoategui mnamo mwaka 2023 alikuwa anaitumikia klabu ya Deportivo La Guaira. Akiwa na Anzoategui msimu huu Pino amefanikiwa kuhusika kwenye mabao (5) baada ya kufunga mabao (3) na kutoa assisti (2) akicheza dakika (876) kwenye michezo (13). 7. Mosi Nduwumwe huyu ndiye top score ligi kuu Mechi 15 magoli 17 na ndiye mrithi wa Prince Dube,ni raia WA Burundi Miaka 25 8. Idd Nado kutoka Azam FC Kocha wanaotajwa Kwa sasa Chavalier wa aasec mimosas ya ivory Coast na fadlu davids wa Raja 🟢🟡 HII HAPA LIST YA WACHEZAJI WA KIGENI WA YANGA SC 🔰 1.🇲🇱 Djigui Diarra 2.🇨🇮 Yao Kouassi 3.🇨🇩 Chadrack Boka 4.🇧🇪 Frank Assink 5.🇬🇳 Balla Conté 6.🇰🇪 Duke Abuya 7.🇨🇩 Maxi Nzengeli 8.🇲🇱 Mohamed Doumbia 9.🇦🇴 Laurindo Depu 10.🇺🇬 Allan Okello 11.🇨🇮 Pacome Zouzoua 12.🇬🇲 Buba Jammeh 13.🇧🇪 Lassine Kouma 14.🇧🇪 Célestin Ecua



Belgium v Senegal: Niakhaté’s Pass Opened Everything
Belgium v Senegal: Niakhaté’s Pass Opened Everything

A quick Senegal move down the left was transformed by one brilliant forward pass from Moussa Niakhaté. After Senegal circulated the ball through Habib Diarra, Ismail Jakobs, Idrissa Gana Gueye and Sadio Mané, Niakhaté changed the picture with a superb long pass into the central attacking channel. Ismaila Sarr received under direct pressure and finished with his right foot within seconds - a clinical end to a beautifully spotted pass at the FIFA World Cup 2026™.



Belgium 3-2 Senegal | Round of 32 | FIFA World Cup 2026™ Highlights
Belgium 3-2 Senegal | Round of 32 | FIFA World Cup 2026™ Highlights

Senegal took control of the first half against Belgium, with Habib Diarra pouncing after Ismaïla Sarr’s header hit the post before Sadio Mané doubled the lead. Belgium struggled to respond as Senegal went into half-time 2-0 up. Don’t miss the biggest edition of the FIFA World Cup™, happening from 12 June to 20 July 2026. Subscribe to the FIFA World Cup 2026™ and catch all 104 matches live on mewatch. Visit mewatch.sg/fifaworldcup for more details. #FIFAWorldCup #WeAre26 #mediacorpFIFAWorldCup2026 #WeAreAllFans --- Welcome to Mediacorp Sports YouTube, your home for the biggest sporting moments, local sports stories and Team Singapore highlights. Catch event highlights, live streams, bite-sized clips, Team Singapore action from major sporting events, the biggest moments from world-class events, and the best of youth and community sports. We’re part of Mediacorp, Singapore’s biggest content creator and national media network, bringing fans closer to the action, from global tournaments to local pride. Want to watch the full match or sporting event? Catch more sports action for free on mewatch. Download the app or visit today. Subscribe and follow us on social! Instagram: @mediacorp.sports TikTok: @mediacorp.sports Facebook: /MediacorpSports



Belgien – Senegal Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio
Belgien – Senegal Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

Belgiens "alte Herren" dürfen dank einer unwirklichen Willensleistung weiter träumen. Die Mannschaft um Super-Joker Romelu Lukaku und Kapitän Youri Tielemans drehte am Mittwoch in Seattle in einer verrückten Schlussphase einen Zwei-Tore-Rückstand gegen den Senegal und zog dank des wilden 3:2 nach Verlängerung (2:2, 0:1) doch noch ins Achtelfinale der WM in Nordamerika ein. Hier auf dem Kanal siehst du die Highlights aller Spiele der FIFA WM 2026. Abonniere den Kanal: http://kurz.zdf.de/sportabo/ Mehr Geschichten und aktuelle Informationen zum Turnier in den USA, Kanada und Mexiko findest du hier: https://kurz.zdf.de/VTY1d/ Vor der WM 2006 steht der deutsche Fußball am Abgrund. Jürgen Klinsmanns Revolution droht zu scheitern – bis sein junges Team das Land elektrisiert und das Sommermärchen beginnt. Die dreiteilige Doku-Serie "Mission Sommermärchen" zeigt die dramatische und unerzählte Vorgeschichte der WM im eigenen Land und die emotionale Achterbahnfahrt einer ganzen Nation während des Turniers. Erzählt von denen, die dabei waren: u. a. Klinsmann, Kahn, Odonkor, Löw und Podolski. Jetzt hier streamen: https://kurz.zdf.de/7jqd/ Platz 1 in der Gruppe, doch nach dem Ecuador-Spiel steht ein großes Aber. Wie ist die Gruppenphase einzuschätzen? Extrem torhungrig gegen Curacao, extrem emotional gegen die Elfenbeinküste und extrem fehleranfällig gegen Ecuador. Was hat das Team von Julian Nagelsmann gut gemacht, was schlecht und wo gibt es, mit Blick auf die K.-o.-Phase, noch Verbesserungspotential. Das alles in unserem neuen WM-Bolzplatz: https://kurz.zdf.de/Sajsh6/ sportstudio bei Instagram https://www.instagram.com/sportstudio/ sportstudio bei TikTok https://www.tiktok.com/@sportstudio.de sportstudio bei WhatsApp https://kurz.zdf.de/6Em3U/ Nur wenige Momente vor einem drohenden Elfmeterschießen verwandelte Tielemans einen viel diskutierten Strafstoß (120.+5) und schoss die "Roten Teufel" damit endgültig von der Hölle in den Himmel. Zuvor hatten der eingewechselte Lukaku (86.) und Tielemans (89.) in einer aberwitzigen Schlussphase der regulären Spielzeit ein längst verloren geglaubtes Spiel aus dem Feuer gerissen. Der Senegal, der nach den Treffern von Habib Diarra (25.) und Ismaila Sarr (51.) schon wie der sichere Sieger aussah, verpasste denkbar unglücklich den zweiten K.o.-Sieg seiner WM-Geschichte. Belgien: Courtois – Castagne, Mechele, Theate, De Cuyper (78. Meuinier) – Vanaken (63. Moreira), Tielemans – Trossard (109. Onana), De Bruyne (56. Raskin), Doku (56. Lukebakio) – De Ketelaere Trainer: Rudi Garcia Senegal: Diaw – Diatta, Ciss, Niakhaté, Jakobs (93. Diouf) – Idrissa Gueye (95. Bara Ndiaye) – Pape Gueye (66. Camara), Diarra (73. Pape Sarr) – Iliman Ndiaye (73. Mbaye), Ismaila Sarr, Mané (93. Jackson) Trainer: Pape Thiaw Schiedsrichter: Hector Said Martinez (Honduras) Kommentator: Konstantin Klostermann #WM2026 #FIFAWorldCup #FußballWM



BÉLGICA PERDÍA 0-2 PERO LO DIO VUELTA EN EL ALARGUE | Bélgica 3-2 Senegal | RESUMEN | M82
BÉLGICA PERDÍA 0-2 PERO LO DIO VUELTA EN EL ALARGUE | Bélgica 3-2 Senegal | RESUMEN | M82

#FIFAWorldCupOnYT Resumen completo de Bélgica 3-2 Senegal, disputado el miércoles 1 de julio de 2026. Post game. ⚽ Goles del partido: 🇸🇳 25' Diarra (Senegal) 🇸🇳 51' Sarr (Senegal) 🇧🇪 86' Lukaku (Bélgica) 🇧🇪 89' Tielemans (Bélgica) 🇧🇪 120+5' Tielemans (Bélgica) 📅 Copa Mundial de la FIFA 2026 - 16avos de final 🏟️ Seattle Stadium Disfruta #ESPNMundial por el Plan Premium de #DisneyPlus ingresando a este link: http://dis.la/ESPNenDisneyPlus_YT No te pierdas todos los resúmenes de los partidos en nuestra Playlist: https://www.youtube.com/playlist?list=PLTRckBbIqcx2yV1NYqGnx6RBX4RpNFRCs ¿Ya te suscribiste a nuestro canal?: https://bit.ly/3x2ImCq Para más información, visita http://www.espn.com No te olvides de seguirnos en TODAS las redes: • https://www.instagram.com/espnargentina/ • https://www.tiktok.com/@espnargentina • https://whatsapp.com/channel/0029VbBSupFAjPXGrgFRxG0V • https://www.facebook.com/ESPNFans • https://x.com/ESPNArgentina




Next »


Popular Tags

#Shot Goals  #Golden State Warriors  #Best Football Defending Skills  #Allen Iverson  #Miami Heat  #Paul George  #Zlatan Ibrahimovi  #Best Ball Controls  #Shot Goals  #Best Champions League  

Popular Users

#BarackObama  #realmadrid  #BaileyLAKings  #JohnCena  #RobbieSavage8  #floydmayweather  #RyanBabel  #blakegriffin23  #SportsCenter  #britneyspears  #dougferguson405  #MichelleDBeadle  #DanicaPatrick  #RobGronkowski  #themichaelowen