#inkmediatz #africanfootballleague #nbcpremierleague #cafcl
Simba Queens imetinga fainali ya Ngao ya Jamii kwa wanawake, ikiwapiga watani zake Yanga Princess kwa penati 5-4 baada ya dakika 90 kumalizika bila goli katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Hizi hapa ni penati zote kumi zilzoamua mchezo.... lakini kutazama highlights za dakika 90 za mchezo ingia hapa https://www.youtube.com/watch?v=m0VqtULsaTA
Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis. Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati. Tazama highlights....
Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis. Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati. Tazama highlights....
Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis. Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati. Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu...
Xavi reclamó penal en la jugada de Lamine Yamal que el VAR anuló, también opinó Javier Aguirre. El Barça ha encajado 8 goles en 7 partidos de Liga. Los mismos que recibió la temporada pasada en 25 jornadas. Deco aseguró que aún es muy pronto para ver si los Joaos seguirán el año que viene. Escándalo en Italia por dos videos subidos al Tiktok oficial del Napoli y luego borrados, burlándose de Victor Osimhen. Después de que su agente haya amenazado con denunciar al club, el delantero ha borrado casi todo el contenido de su perfil de 'Instagram' que tenía que ver con el equipo napolitano. Samuel Umtiti fue internado con una conmoción cerebral luego de haber sufrido un fuerte golpe en la cabeza en el Lille - Reims, que obligó al defensa a abandonar el campo en el descanso. Gennaro Gattuso está muy cerca de convertirse en nuevo entrenador del Olympique de Marsella. En el Real Madrid siguen muy molestos por los fallos del árbitro y el VAR después del derbi y consideran iniciar una lucha para lograr un cambio absoluto de la gestión arbitral. Erik Ten Hag no quiere hablar de la situación de Jadon Sancho. En el Dortmund aseguran que su principal problema con el jugador era que dormía muy poco porque se quedaba hasta muy tarde en la noche jugando videojuegos. Munster vs Bayern por la Pokal en Alemania. NOTICIAS de FUTBOL de Europa e internacional. Suscríbete GRATIS para estar SIEMPRE BIEN INFORMADO: https://goo.gl/aK8cDH Síguenos en las redes! ►PODCAST: https://magic.ly/es/ElPodcastDeCRACKS ►TIKTOK: https://www.tiktok.com/@crackstok ►Twitter: https://twitter.com/cracks_oficial ►Facebook: https://goo.gl/s1Oene ►Instagram: https://www.instagram.com/cracks_ig/?hl=es ►TWITCH: https://www.twitch.tv/cracks_tv ►Lo mejor del FÚTBOL MEXICANO en CRACKS MX: https://goo.gl/iFXBQv ►CRACKS COLOMBIA: https://bit.ly/2UsCpuq ►CRACKS Argentina: https://www.youtube.com/@CracksArgentina ► ¡NUEVO! EL PODCAST DE CRACKS: https://bit.ly/cracks-spotify
KUFUZU AFCON WANAWAKE: Timu ya Taifa ya Wanawake, #TwigaStars imeitupa nje Ivory Coast kwa mikwaju ya penati 4-2 baada ya kupindua matokeo ya 2-0 na kufanya matokeo ya jumla kuwa 2-2. Ni katika mchezo wa marudiano kuwania tiketi ya kufuzu AFCON kwa Wanawake #WAFCON uliopigwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Kwenye mchezo huo, Twiga Stars imepata mabao yake kupitia kwa Donisia Minja dakika ya 50 na Opah Clement dakika ya 52 kabla ya kenda kwenye matuta.... Haya hapa magoli mawili na mikwaju yote tisa ya penati.