Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis. Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati. Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu...
Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis. Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati. Tazama highlights....
NUSU FAINALI AFL: Zilikuwa ni dakika 90 za moto licha ya kumalizika bila bao... Al Ahly wakatupwa nje ya michuano ya African Football League na Mamelodi Sundowns kwa matokeo ya jumla ya bao 1-0 kufuatia kichapo ilichokipata kwenye mchezo wa kwanza nchini Afrika Kusini. Hii ni mechi ya mkondo wa pili ikipigwa jijini Cairo nchini Misri Mamelodi wakimaliza pungufu baada ya mchezaji wao Mandieta kulimwa red card...... Tazama highlights....
Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu SC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ulipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Simba imetangulia kwa goli la Jean Baleke dakika ya 13 lakini Ihefu wakachomoa dakika ya 25 kupitia kwa Ismail Mgunda na 'super sub, Moses Phiri akatia kitu cha pili dakika ya 65. Tazama highlights.....
Azam FC wamekula kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Namungo FC, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Namungo yametoka kwa Pius Buswita dakika ya 10, Hashim Manyanya dakiak ya 19 na Reliants Lusajo dakika ya 50 huku goli la kufutia machozi likifungwa na Ayoub Lyanga dakika ya 70.
May 18 2024 Tribute video courtesy of the NHL and Sportsnet Edmonton Oilers vs Vancouver Canucks game 6.
Dylan Holloway of the Edmonton Oilers scores the opening goal of Game 6 of the second round of the 2024 Stanley Cup Playoffs ...
Mavericks try ti secure series victory over the Thunder Moonrich88 sports betting & online casino ...
Welcome to -OAD Oilers After Dark: Real Oilers Talk for the Real Fan. Oilers After Dark is a Certified Hockey Sports Brand-Entity ...
Willkommen bei Dyn Sports – Deinem Zuhause für spannenden Live-Sport und exklusive Inhalte! Abonniere jetzt unseren Kanal, ...
Willkommen bei Dyn Sports – Deinem Zuhause für spannenden Live-Sport und exklusive Inhalte! Abonniere jetzt unseren Kanal, ...
Willkommen bei Dyn Sports – Deinem Zuhause für spannenden Live-Sport und exklusive Inhalte! Abonniere jetzt unseren Kanal, ...
PittsburghPirates #ChicagoCubs #MLB Like Comment Subscribe For more of Pittsburgh sports & other sports content, hit the ...