EXCLUSIVE: MGOSI AMKATAA AZIZ KI, HAKUNA OKWA BILA CHAMA, FUNDI LA SIMBA
EXCLUSIVE: MGOSI AMKATAA AZIZ KI, HAKUNA OKWA BILA CHAMA, FUNDI LA SIMBA

mussa mgosi mashine ya magoli simba aelezea simba day ilipotokea, jinsi alivyomuona okwa na balaa la chama, amkataa azizi ki kuwa hajawahi kumuona kokote na kikosi kizma cha yanga



EXCLUSIVE: VIPERS WATOBOA SIRI YA MANZOKI/KUMBE SIMBA HAWANA CHAO/ ANAMKATABA HADI 2025
EXCLUSIVE: VIPERS WATOBOA SIRI YA MANZOKI/KUMBE SIMBA HAWANA CHAO/ ANAMKATABA HADI 2025

msemaji wa timu ya vipers Wasike Abdu aweka wazi mkataba wa manzoki, simba walipokosea na umiliki wao kwa mchezaji huyo pia kuhusiana na mechi ya kesho kuipiga yanga katika siku ya mwananchi



#EXCLUSIVE: KIGOGO M-BET ATAJA 'KUFURU' YA 'BONUS' ZA UBINGWA SIMBA
#EXCLUSIVE: KIGOGO M-BET ATAJA 'KUFURU' YA 'BONUS' ZA UBINGWA SIMBA

Mkurugenzi wa masoko wa m-bet amezungumza na BOIPLUS akitoboa siri ambayo imejificha juu ya mkataba wao na Simba. Kigogo huyo amefunguka kuhusu bonus endapo Simba itafanya vizuri katika mashindano mbalimbali.



#UCHAMBUZI; PANGA LA SIMBA KWA KAGERE, SAKHO NA BALAA LA MANZOKI
#UCHAMBUZI; PANGA LA SIMBA KWA KAGERE, SAKHO NA BALAA LA MANZOKI

Mchambuzi Khalid Chukuchuku akielezea kwa kina masuala mbalimbali yahusuyo usajili wa Simba SC msimu huu. #Uchambuzi #Chukuchuku



Team Samatta 3-3 Team Kiba (Pen 2-4) | Magoli, Penati & Kombe | Nifuate 18/06/2022
Team Samatta 3-3 Team Kiba (Pen 2-4) | Magoli, Penati & Kombe | Nifuate 18/06/2022

SAMAKIBA 2022: Team Kiba iliyo chini ya msanii Alikiba imebeba Kombe la Nifuate 2022 kwa kuichapa Team Samatta iliyo chini ya nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kwa mikwaju ya penati 4-2 kufuatia sare ya mabao 3-3. Katika muda wa kawaida, magoli ya Team Kiba yamefungwa na Saimon Msuva aliyefunga mawili pamoja na Alikiba mwenyewe kwa penati huku magoli ya Team Samatta ayakifungwa na Kelvin John, Mbwana Samatta na Idd Gamba kwa penati. Mechi hii ni tamasha maalum la hisani kwa ajili ya kurejesha jamii ambalo hufanyika kila mwaka chini ya taasisi ya Samakiba Foundation, na mwaka huu limefanyika kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, na kushuhudia Team Kiba wakibeba ndoo.



AZIZ KI Kutua Simba, Ahmed Ally Awacheka Yanga, Awapiga Kijembe Usajili wa Moses Phiri
AZIZ KI Kutua Simba, Ahmed Ally Awacheka Yanga, Awapiga Kijembe Usajili wa Moses Phiri

#bmtvtanzania #AhmedAlly SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1




Next »


Popular Tags

#Manuel Neuer  #Football Defensive Skills  #Golden State Warriors  #Boston Celtics  #Cleveland Cavaliers  #Stephen Curry  #Paul Pogba  #Best Football Defending Skills  #Allen Iverson  #Best Ball Controls  

Popular Users

#J_No24  #cnnbrk  #ArianFoster  #CMPunk  #fauxpelini  #lindseyvonn  #BaileyLAKings  #shakira  #JLo  #steveaustinBSR  #nytimes  #britneyspears  #serenawilliams