🔴#Live: MUSONDA APEWA ZAWADI ya MEDALI KUTOKA HISPANIA na KIJANA wa MIAKA 8, BALOZI AFUNGUKA...
🔴#Live: MUSONDA APEWA ZAWADI ya MEDALI KUTOKA HISPANIA na KIJANA wa MIAKA 8, BALOZI AFUNGUKA...

🔴#Live: MUSONDA APEWA ZAWADI ya MEDALI KUTOKA HISPANIA na KIJANA wa MIAKA 8, BALOZI AFUNGUKA... MACHI 13, 2023 mchezaji wa Yanga @kennedy_musonda_jr amepata nafasi ya kupokea zawadi ya medali kutoka kwa mtoto Lucas Gomez Usoz kutoka Spain. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 8 anayeishi mjini Madrid nchini Spain alituma Medali hiyo kupitia ubalozi wa Spain (TZ) na kukabidhiwa rasmi leo na Balozi Jorge Moragas mbele ya Rais wa Klabu yetu @caamil_88 kama sehemu ya kuvutiwa na uchezaji wa @kennedy_musonda_jr baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mechi akiwa anaitumikia klabu yake ya zamani ya Power Dynamos FC ya nchini Zambia. Hafla hyo fupi iliyoandaliwa na balozi ilifanyika kwenye makazi yake eneo la Oyster bay, jijini Dar es salaam. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline



🔴LIVE: DEAL DONE: SIMBA WASHUSHA KIUNGO KUTOKA DIFAA EL JADIDA ISMAEL SAWADOGO ASAINI MIAKA MIWILI
🔴LIVE: DEAL DONE: SIMBA WASHUSHA KIUNGO KUTOKA DIFAA EL JADIDA ISMAEL SAWADOGO ASAINI MIAKA MIWILI

Klabu ya Simba imemtangaza Kiungo Mpya Raia wa Burkinafaso kutoka Difaa El Jadida Ismael Sawadogo baada ya kusaini Mkataba wa Miaka miwili akitokea nchini Morocco. Kiungo huyo atawasili nchini kesho Jumapili Alfajiri na atasubiri kujiunga na kikosi kitakapowasili Jumanne kutokea Dubai.




Next »


Popular Tags

#Allen Iverson  #Lionel Messi  #Lionel Messi  #Best Ball Controls  #Neymar  #Goal Celebrations  #Chris Paul  #Luis Suarez  #Neymar  #Philadelphia 76ers  

Popular Users

#DanicaPatrick  #Ky1eLong  #IAmJericho  #ochocinco  #jimmyfallon  #lindseyvonn  #DwyaneWade  #ATLHawks  #BillGates  #incarceratedbob  #BBCBreaking  #J_No24  #DjokerNole  #strombone1  #twitter