WANANCHI WAMEMSHAURI KIUNGO WA YANGA FEISAL SALUM KUOMBA MSAMAHA MARA BAADA YA KUREJEA NDANI YA TIMU HIYO KUTOKANA NA VITENDO AMBAVYO AMEVIFANYA AMBAVYO SIO VYA KIUNGWANA
Kiungo Mshambuliaji wa Yanga Feisal Salum Abdalah rasmi amechana na Klabu hiyo baada ya makubaliano ya pande zote mbili, Feisal amewaaga Rasmi wanachama na Mashabiki wa Yanga baada ya Kuchapisha Barua kwenye Ukurasa wake wa Instagram masaa machache yaliyopita......
Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...
AFISA HABARI WA YANGA ALLY KAMWE KWA MARA YA KWANZA AMEWEZA KUFUNGUKA KILA KITU KINACHOHUSIANA NA YANGA MAENDELEO YAO NA MASUALA MAZIMA YANAYOHUSIANA NA USAJILI WA TIMU HIYO KUELEKEA DIRISHA DOGO LA USAJILI AMBAPO JAMBO LINALOTREND KWA SASA NI MASUALA MAZIMA YA USAJILI NDANI YA TIMU HIYO AMBAPO JINA LINALOTREND KWA SASA NI LA KIUNGO WA UGANDA BOBOSI BYRAHANGA
Mtazame hapa Ofisa habari wa klabu ya Singida Big Stars baada ya kupata ushindi wa goli 1 mbele ya Ruvu Shooting ukiwa ni ...