MSUVA AIPA YANGA NAFASI KUBWA YA KUMSAJILI AKIRUDI BONGO/“AKILI YANGU INAWAZA KUCHEZA NJE TU"
MSUVA AIPA YANGA NAFASI KUBWA YA KUMSAJILI AKIRUDI BONGO/“AKILI YANGU INAWAZA KUCHEZA NJE TU"

Badhi ya Nyota watakao kipiga kwenye Mchezo wa Timu Samatta dhidi ya Timu Kiba wakiwa wanawasili kwenye Dimba la Azam Complex. Aidha wadau wakubwa wa Michezo wakiwemo Wasanii wa Muziki pia wamefika hapa kushuhudia Mbungi la Timu Samatta dhidi ya Timu Kiba



MBWADUKE:''HUU NDIO UTOFAUTI WA KOCHA ROBERTINHO NA NABI/AMEONGEZEA FALSAFA MPYA SIMBA/ONYANGO...
MBWADUKE:''HUU NDIO UTOFAUTI WA KOCHA ROBERTINHO NA NABI/AMEONGEZEA FALSAFA MPYA SIMBA/ONYANGO...

Mpenja Tv tumezungumza na Mchambuzi wa Soka kutoka Azam Media Limited Ramadhan Mbwaduke kuhusu takwimu za Kocha Roberto Oliveira "Robertinho" ndani ya Klabu ya Simba tangu alivyoanza kuifundisha na nini anakiona kwa Simba Msimu ujao wa 2023/2024. Pia amesema licha ya Simba SC kumaliza ligi wakiwa nafasi ya pili bado kocha Robertinho ana Takwimu Bora ukilinganisha na kocha Nasreddine Nabi ambaye ametwaa Ubingwa wa Makombe yote makubwa ngazi ya Klabu Nchini,Fainali Kombe la Shirikisho Afrika.



UTANI WA AHMED ALLY NA ALLY KAMWE/HUNA MEDALI UNAVAA TU TAI/MKAMIAJI/GUNDU/HAMASA STARS VS NIGER
UTANI WA AHMED ALLY NA ALLY KAMWE/HUNA MEDALI UNAVAA TU TAI/MKAMIAJI/GUNDU/HAMASA STARS VS NIGER

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ tayari ipo kambini kujiandaa na mechi ya Kundi F dhidi ya Niger kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika ‘Afcon 2023’ itakayopigwa Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, huku timu hiyo ikihitaji ushindi kwa lengo la kujiweka pazuri kwenda Ivory Coast.



Magoli ya Singida Big Stars 2-1 Ruvu Shooting | NBC Premier League - 06/06/2023
Magoli ya Singida Big Stars 2-1 Ruvu Shooting | NBC Premier League - 06/06/2023

NBCPL Magoli mawili ya Singida Big Stars…. Wauaji ni Bruno Gomes na Medie Kagere… . FT: Singida BS 2-1 Ruvu Shooting.



GHARIB MZINGA: "YANGA NDIO KIKOSI BORA ZAIDI KOMBE LA SHIRIKISHO/WAMECHEZA VIZURI/WAMEJIFUNZA"
GHARIB MZINGA: "YANGA NDIO KIKOSI BORA ZAIDI KOMBE LA SHIRIKISHO/WAMECHEZA VIZURI/WAMEJIFUNZA"

USM Alger walishinda kwenye Dimba la Benjamin Mkapa na Yanga wameenda kushinda Kwenye Dimba la July 5, kila mmoja ameshindwa kwenye Ardhi ya Ugenini lakini Kombe limeenda kwa USM Alger. Hii ni tathmini ya Gharib Mzinga 'KILWA FINEST' Kuhusu Mchezo wa Pili wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Mzinga ameeleza kuhusu mipango ya Timu za Algeria kuhakikisha wanakuza vipaji na kufikia Nchi ya ahadi yenye Mafanikio ya Kisoka. Aidha ameeleza kuwa USM Alger hawajabadilika bali Yanga ndio walibadilika.



AHMED ALLY AIBUKA NA JIPYAA!/“SIJAPOTEA/AISHI MANULA KAENDA SOUTH/MO DEWJI KAWEKA PESA ZA USAJILI”
AHMED ALLY AIBUKA NA JIPYAA!/“SIJAPOTEA/AISHI MANULA KAENDA SOUTH/MO DEWJI KAWEKA PESA ZA USAJILI”

Leo Tarehe 29 Mei,Mpenja Tv tumefanya Mahojiano na Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba Sc Ahmed Ally na kuweka wazi Mwenendo wa Timu hiyo wakati huu ambao Ligi Kuu imesimama wakiwa wamebakiza Mechi Mbili Msimu kwisha.



UBORA WA YANGA UPO KWA NABI NA MAYELE/HUYU NDIYE MCHEZAJI HATARI WA USM ALGER/WASIFU WA YANGA...
UBORA WA YANGA UPO KWA NABI NA MAYELE/HUYU NDIYE MCHEZAJI HATARI WA USM ALGER/WASIFU WA YANGA...

Mchambuzi wa Soka kutoka Azam Media LTD ,Gharib Mzinga amewachambua kiundani wapinzani wa Yanga SC, USM Alger ambao watacheza nao Mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika,Jumapili hii Mei 28 2023,Katika Dimba la Benjamin Mkapa.




« Previous Next »


Popular Tags

#LeBron James  #Kyrie Irving  #Counter Attack Goals Football  #Paul George  #Gareth Bale  #Gareth Bale  #Shot Goals  #Best Football Defending Skills  #Ronaldinho  #David Silva  

Popular Users

#nfl  #BaileyLAKings  #IAmJericho  #SimplyAJ10  #KevinHart4real  #b_ryan9  #ATLHawks  #KingJames  #BadgerMBB  #kobebryant  #THNRyanKennedy  #KDTrey5  #AntDavis23  #realDonaldTrump  #espn