MBWADUKE:''HUU NDIO UTOFAUTI WA KOCHA ROBERTINHO NA NABI/AMEONGEZEA FALSAFA MPYA SIMBA/ONYANGO... by @Mpenja TV - Post Details

MBWADUKE:''HUU NDIO UTOFAUTI WA KOCHA ROBERTINHO NA NABI/AMEONGEZEA FALSAFA MPYA SIMBA/ONYANGO...

Mpenja Tv tumezungumza na Mchambuzi wa Soka kutoka Azam Media Limited Ramadhan Mbwaduke kuhusu takwimu za Kocha Roberto Oliveira "Robertinho" ndani ya Klabu ya Simba tangu alivyoanza kuifundisha na nini anakiona kwa Simba Msimu ujao wa 2023/2024. Pia amesema licha ya Simba SC kumaliza ligi wakiwa nafasi ya pili bado kocha Robertinho ana Takwimu Bora ukilinganisha na kocha Nasreddine Nabi ambaye ametwaa Ubingwa wa Makombe yote makubwa ngazi ya Klabu Nchini,Fainali Kombe la Shirikisho Afrika.

Similar Posts!

ENG HERSI SAID AWAPA POLE JOB,KIBABAGE,MSHERY KWA KUIFUNGA MTIBWA/WAKATAFUTE ALAMA TATU KWINGINE
ENG HERSI SAID AWAPA POLE JOB,KIBABAGE,MSHERY KWA KUIFUNGA MTIBWA/WAKATAFUTE ALAMA TATU KWINGINE

Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.



ALLY KAMWE" NI TAISHANGILIA SIMBA NA AZAM KWA MARA YA KWANZA/ENG HERSI KAJA NA VITU VIZITO KU
ALLY KAMWE" NI TAISHANGILIA SIMBA NA AZAM KWA MARA YA KWANZA/ENG HERSI KAJA NA VITU VIZITO KU

Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar



ALLY KAMWE"JOBE NI HAALAND MTUPU/ANA MIKIMBIO NA MIDONDOKO/NIMEPENDEKEZA MSIMU UJAO AJE YANGA
ALLY KAMWE"JOBE NI HAALAND MTUPU/ANA MIKIMBIO NA MIDONDOKO/NIMEPENDEKEZA MSIMU UJAO AJE YANGA

Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.