Content removal request!


UBORA WA YANGA UPO KWA NABI NA MAYELE/HUYU NDIYE MCHEZAJI HATARI WA USM ALGER/WASIFU WA YANGA...

Mchambuzi wa Soka kutoka Azam Media LTD ,Gharib Mzinga amewachambua kiundani wapinzani wa Yanga SC, USM Alger ambao watacheza nao Mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika,Jumapili hii Mei 28 2023,Katika Dimba la Benjamin Mkapa.