Badhi ya Nyota watakao kipiga kwenye Mchezo wa Timu Samatta dhidi ya Timu Kiba wakiwa wanawasili kwenye Dimba la Azam Complex. Aidha wadau wakubwa wa Michezo wakiwemo Wasanii wa Muziki pia wamefika hapa kushuhudia Mbungi la Timu Samatta dhidi ya Timu Kiba