Badhi ya Nyota watakao kipiga kwenye Mchezo wa Timu Samatta dhidi ya Timu Kiba wakiwa wanawasili kwenye Dimba la Azam Complex. Aidha wadau wakubwa wa Michezo wakiwemo Wasanii wa Muziki pia wamefika hapa kushuhudia Mbungi la Timu Samatta dhidi ya Timu Kiba
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com