Kocha wa Simba Sven Vandenbroeck anasema kujituma kwa wachezaji wake ndiyo siri ya ushindi wa leo huku akikiri kuwa uamuzi wake wa kuwaanzisha kwa pamoja John Bocco na Meddie Kagere umechangia kuwavuruga wapinzani wake. Tazama mahojiano ya makocha wote wawili pamoja na wachezaji Hassan Dilunga na Henry Joseph Shindika baada ya mchezo. FT : Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC. Tazama LIVE mechi za Vodacom Premier League na vipindi vingine kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://play.google.com/store/apps/details?id=com.azamtv.max.media&hl=en_US Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Wekundu wa Msimbazi Simba SC wamepata ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Magoli ya Simba yamefungwa na John Bocco, Mohamed Hussein na Hassan Dilunga. Tazama Taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► http://play.google.com/store/apps/details… Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1
Wekundu wa Msimbazi Simba SC wamepata ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Magoli ya Simba yamefungwa na John Bocco, Mohamed Hussein na Hassan Dilunga. Tazama Taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://play.google.com/store/apps/details?id=com.azamtv.max.media Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
#2gendah24tvonline#Bocco#Dilunga#Hussein 🔴#LIVE MTIBWA SUGAR 0 Vs. SIMBA SC 3 ( VPL) 45. BOCCO 47. HUSSEIN 59. DILUNGA LIKE AND SHARE
Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa usiku wa leo 29/02/2020 kwenye Dimba la Taifa Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Francis Kahata dakika ya 22, Hassan Dilunga dakika ya 39 na Medie Kagere dakika ya 89 huku Namungo ikijipatia magoli yake kupitia kwa Bigirimana Blaise dakika ya 35 na Lucas Kikoti dakika ya 72.
Simba SC imezidi kujiweka vizuri kutetea taji la VPL kwa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Namungo FC katika mchezo uliopigwa u29/02/2020 kwenye Uwanja la Taifa, Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Francis Kahata, Hassan Dilunga na Meddie Kagere katika dakika za 22, 39 na 89 huku Bigirimana Blaise na Lucas Kikoti wakiifungia Namungo katika dakika za 35 ya 72. #SimbaSC #SimbaNamungo #Namungo