Kocha wa Simba Sven Vandenbroeck anasema kujituma kwa wachezaji wake ndiyo siri ya ushindi wa leo huku akikiri kuwa uamuzi wake wa kuwaanzisha kwa pamoja John Bocco na Meddie Kagere umechangia kuwavuruga wapinzani wake. Tazama mahojiano ya makocha wote wawili pamoja na wachezaji Hassan Dilunga na Henry Joseph Shindika baada ya mchezo. FT : Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC. Tazama LIVE mechi za Vodacom Premier League na vipindi vingine kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://play.google.com/store/apps/details?id=com.azamtv.max.media&hl=en_US Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz