Magoli | Namungo FC 1-1 Kagera Sugar | TPL 03/10/2021
Magoli | Namungo FC 1-1 Kagera Sugar | TPL 03/10/2021

Kagera Sugar imeikaba koo Namungo FC na kuilazimisha sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi. namungo wametangulia kupitia kwa Reliants Lusajo, lakini Kagera wakachomoa kupitia kwa Mbaraka Yusuph. Haya hapa magoli yote. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Mbeya City 2-2 Mbeya Kwanza | Highlights | TPL 03/10/2021
Mbeya City 2-2 Mbeya Kwanza | Highlights | TPL 03/10/2021

Crispin Ngushi ameifungia Mbeya Kwanza magoli mawili, moja likiwa la tikitaka na kufanya mechi yao dhidi ya Mbeya City (Mbeya Derby) imalizike kwa sare ya mabao 2-2. Mbeya City ndiyo waliotangulia kupata magoli yao kupitia kwa Paul Nonga na Richard Ng'ondya kabla ya Mbeya Kwanza kuongeza nguvu na kuchomoa magoli yote mawili kupitia kwa Crispin Ngushi aliyetokea benchi. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



SPORTS AM 03/10/2021 | Uchambuzi Yanga dhidi ya Geita Gold, Offside ya Mayele
SPORTS AM 03/10/2021 | Uchambuzi Yanga dhidi ya Geita Gold, Offside ya Mayele

Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Highlights | Mtibwa Sugar 0-0 Tanzania Prisons | TPL 03/10/2021
Highlights | Mtibwa Sugar 0-0 Tanzania Prisons | TPL 03/10/2021

Timu za Mtibwa Sugar na Tanzania Prisons zimetoka sare ya bila goli katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliochezwa kwenye Dimba la Uhuru, dar es Salaam. Tazama highlights kuona kwa ufupi jinsi mambo yalivyokuwa. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Magoli manne ya 'Mbeya Derby' | Mbeya City 2-2 Mbeya Mbeya Kwanza | TPL 03/10/2021
Magoli manne ya 'Mbeya Derby' | Mbeya City 2-2 Mbeya Mbeya Kwanza | TPL 03/10/2021

Crispin Ngushi ameifungia Mbeya Kwanza magoli mawili, moja likiwa la tikitaka na kufanya mechi yao dhidi ya Mbeya City (Mbeya Derby) imalizike kwa sare ya mabao 2-2. Mbeya City ndiyo waliotangulia kupata magoli yao kupitia kwa Paul Nonga na Richard Ng'ondya kabla ya Mbeya Kwanza kuongeza nguvu na kuchomoa magoli yote mawili kupitia kwa Crispin Ngushi aliyetokea benchi. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Yanga SC 1-0 Geita Gold FC | Highlights | TPL 02/10/2021
Yanga SC 1-0 Geita Gold FC | Highlights | TPL 02/10/2021

Jesus Moloko amefungua akaunti ya magoli ndani ya Yanga akiitungua Geita Gold kwa Mkapa na kuipa ushindi wa goli 1-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara. Tazama highlights. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Polisi Tanzania 2-1 Azam FC | Highlights | TPL 02/10/2021
Polisi Tanzania 2-1 Azam FC | Highlights | TPL 02/10/2021

Azam FC wamekula mweleka kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Polisi Tanzania katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara. Magoli ya Polisi yamefungwa na Kassim Shaban pamoja na Adam Adam wakati Azam wakipata bao kupitia kwa Idd Seleman .Nado'. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Dodoma  Jiji 0-1 Simba  | Highlights | TPL 01/10/2021
Dodoma Jiji 0-1 Simba | Highlights | TPL 01/10/2021

Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba SC leo wamepata ushindi wao wa kwanza msimu huu baada ya mechi mbili, wakiwatandika Dodoma Jiji bao 1-0. Goli pekee la Simba limefungwa na Medie Kagere dakika ya 69. Katika mchezo huu pia, Dodoma Jiji wamepata pigo baada ya mshambuliaji wake Anuary Jabir kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 45. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz




« Previous Next »


Popular Tags

#Neymar  #Russell Westbrook  #Stephen Curry  #David Silva  #Paul George  #Stephen Curry  #Mesut Ozil  #Kawhi Leonard  #Football Defensive Skills  #Goalkeeper Saves  

Popular Users

#YouTube  #nyt4thdownbot  #BizNasty2point0  #si_vault  #HEELZiggler  #KDTrey5  #KingJames  #Buster_ESPN  #CMPunk  #BadgerMBB  #JJWatt  #RobGronkowski  #KimKardashian  #twitter