Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

SEMAJI LA SIMBA AHMED ALLY LATEMA CHECHE BAADA YA SARE/TUMERIDHIKA NA MATOKEO/TUNAWASUBIRI KWENYE FA
SEMAJI LA SIMBA AHMED ALLY LATEMA CHECHE BAADA YA SARE/TUMERIDHIKA NA MATOKEO/TUNAWASUBIRI KWENYE FA

πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯Leo April 30, 2022 Unapigwa Mchezo wa Dabi ya Kariako Baina ya Yanga Na Simba Mchezo Utakaopigwa majira ya 11:00 Jioni katika Uwanja Wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam Mpenja TV Tumekita Kambi Katika Uwanja Wa Benjamin Mkapa na Tunakuletea Kila Nukta ya Jambo Linalotokea hapa Kaa karibu na Sisi #mpenjaTV #YanganaSimba #YangavsSimba #Dabiyakariako #wataniwajadi



UTAPENDA! SIKIA UCHAMBUZI WA MTOTO ADIL SHABIKI WA YANGA/"MKUDE ATAFUNGA/MAYELE LAZIMA ATETEME"
UTAPENDA! SIKIA UCHAMBUZI WA MTOTO ADIL SHABIKI WA YANGA/"MKUDE ATAFUNGA/MAYELE LAZIMA ATETEME"

Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Mtoto Adili Mwenye Kipaji cha kutangaza na Kuchambua Mpira ambaye pia ni Shabiki kindakindaki wa Yanga atamba timu yake ya Yanga kupata matokeo dhidi ya Simba April 30 Uwanja wa Benjamin Mkapa Fungua Video Hii kupata uhondo wa Mtoto Adil akichambua na Kutangaza Mpira.... #MtotoAdil #YangaSsVsSimbaSc #YangaSc #SimbaSc #DerbyyaKariakoo #KariakooDerby #MpenjaTv



FULL VIDEO: SHANGWE LA KUTOSHA KWA WACHEZAJI WA SIMBA SC WALIVYOWASILI AIRPORT.....
FULL VIDEO: SHANGWE LA KUTOSHA KWA WACHEZAJI WA SIMBA SC WALIVYOWASILI AIRPORT.....

Kikosi cha Simba Sc Kimewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Kikitokea Nchini Afrika Kusini walipokwenda kucheza Mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates na Kutolewa kwa Mikwaju ya Penati 4-3,na Hatimaye Orlando kutinga Hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. #MpenjaTv #SimbaSc



MENEJA WA SIMBA RWEYEMAMU: JUHUDI HAZIZIDI KUDRA, TUWAPONGEZE ORLANDO/TULIPANGA KUFIKA MBALI……
MENEJA WA SIMBA RWEYEMAMU: JUHUDI HAZIZIDI KUDRA, TUWAPONGEZE ORLANDO/TULIPANGA KUFIKA MBALI……

Kikosi cha Simba Sc Kimewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Kikitokea Nchini Afrika Kusini walipokwenda kucheza Mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates na Kutolewa kwa Mikwaju ya Penati 4-3,na Hatimaye Orlando kutinga Hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. #MpenjaTv #SimbaSc



UTACHEKA!πŸ˜‚ SIKIA SHOMBO ZA MBOTO BAADA YA KUICHARAZA NAMUNGO/AUCHO,FEISAL,SUREBOY NI WAKANDARASI"
UTACHEKA!πŸ˜‚ SIKIA SHOMBO ZA MBOTO BAADA YA KUICHARAZA NAMUNGO/AUCHO,FEISAL,SUREBOY NI WAKANDARASI"

Leo April 23 2022 Mpenja Tv tupo Uwanja wa Mkapa kukuletea matukio yote yanayoendelea kwenye mchezo wa Ligi kuu ya NBC Kati ya Yanga na Namungo Fc ambao utapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa Majira ya Saa moja kamili usiku. . Fungua video hii kupata uhondo wote wa habari hii . . #yangasc #namungofc #mpenjatv



KOCHA NAMUNGO JULIO AMVULIA KOFIA MAYELE/"NILISHASEMA HAKUNA KAMA MAYELE/MAPOVU KAMA YOTE/NI BALAA!
KOCHA NAMUNGO JULIO AMVULIA KOFIA MAYELE/"NILISHASEMA HAKUNA KAMA MAYELE/MAPOVU KAMA YOTE/NI BALAA!

Leo April 23 2022 Mpenja Tv tupo Uwanja wa Mkapa kukuletea matukio yote yanayoendelea kwenye mchezo wa Ligi kuu ya NBC Kati ya Yanga na Namungo Fc ambao utapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa Majira ya Saa moja kamili usiku. . Fungua video hii kupata uhondo wote wa habari hii . . #yangasc #namungofc #mpenjatv



HASSAN BUMBULI ATUPA MADONGO,  FEISAL, AUCHO "TUSHAWAPIGA WOTE WALIOWATUMA, HATUNA PRESHA"..
HASSAN BUMBULI ATUPA MADONGO, FEISAL, AUCHO "TUSHAWAPIGA WOTE WALIOWATUMA, HATUNA PRESHA"..

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Hassan Bumbuli Amezungumza Namna Kikosi kinavyojiandaa Kumenyana na Namungo FC, Kwenye Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, Utakaochezwa Jumamosi ya Tarehe 23/4/2022,Uwanja wa Benjamin Mkapa. #MpenjaTv #YangaSc #NamungoFc #HassanMbumbuli



AHMED ALLY AWAKA MORRISON SIYO MWIZI WA MAGARI/WANACHAFUA BRAND YA SIMBA SC
AHMED ALLY AWAKA MORRISON SIYO MWIZI WA MAGARI/WANACHAFUA BRAND YA SIMBA SC

Msemaji wa Simba Sc, Ahmed Ally Amezungumza Namna Wanavyojinoa Kuikabili Orlando Pirates ya Afrika Kusini, kwenye Mchezo wa Mkondo wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika, Utakaochezwa Jumapili ya Tarehe 24/4/2022 Nchini Afrika Kusini. #MpenjaTv #SimbaSc #AhmedAlly #OrlandpPirates



Highlights

ALLY KAMWE: MAISHA YA AHMED ALLY YAMEKUWA KAMA UMEME WA TANESKO/ AMPIGIA SIMU MAYELE "TUTAMALIZANA"
ALLY KAMWE: MAISHA YA AHMED ALLY YAMEKUWA KAMA UMEME WA TANESKO/ AMPIGIA SIMU MAYELE "TUTAMALIZANA"

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally kamwe amezungumzia kuhusu Mchezo wa kesho dhidi ya Mbeya City, ...



SIMBA WALIFELI HAPA DHIDI YA MBEYA CITY/MZAMIRU AMEIMARIKA SANA/MBEYA CITY WALIWAHESHIMU SIMBA
SIMBA WALIFELI HAPA DHIDI YA MBEYA CITY/MZAMIRU AMEIMARIKA SANA/MBEYA CITY WALIWAHESHIMU SIMBA

Leo ndiyo leo, 'WANA KOMA KUMWANYA' Mbeya City wanawakaribisha Simba Sc katika Dimba la CCM kumbukumbu ya ...



MGUNDA: "ILIKUWA NGUMU LAKINI ALAMA MOJA SIO HABA/WANA SIMBA MTUVUMILIE/HALI ITAKAA SAWA"
MGUNDA: "ILIKUWA NGUMU LAKINI ALAMA MOJA SIO HABA/WANA SIMBA MTUVUMILIE/HALI ITAKAA SAWA"

Kaimu kocha mkuu wa Simba Juma mgunda amzungumza baada ya kutua Dar es salaam akitikea jijini Mbeya kumenyana na ...



KIMYA KIMYA SIMBA WATUA DAR/MATOKEO DHIDI YA MBEYA CITY YAWAPA UNYONGE/NYOTA WOTE WAPO
KIMYA KIMYA SIMBA WATUA DAR/MATOKEO DHIDI YA MBEYA CITY YAWAPA UNYONGE/NYOTA WOTE WAPO

Kikosi cha Simba kimetua Dar es salaam kutokea jijini Mbeya kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mbeya city, mchezo ulioisha ...



MASHABIKI SIMBA WACHARUKA/"SIMBA TUMELOWA/HATUTAMANI KURUDI NYUMBANI/TUTASEMA NINI/TUNAUMIA SANA"
MASHABIKI SIMBA WACHARUKA/"SIMBA TUMELOWA/HATUTAMANI KURUDI NYUMBANI/TUTASEMA NINI/TUNAUMIA SANA"

Leo ndiyo leo, 'WANA KOMA KUMWANYA' Mbeya City wanawakaribisha Simba Sc katika Dimba la CCM kumbukumbu ya ...



PASI MILIONI KINYONGE AKUBALI SARE DHIDI YA MBEYA CITY/"TUMEPIGA PASI MILIONI 3/MZAMIRU ANAJUA SANA"
PASI MILIONI KINYONGE AKUBALI SARE DHIDI YA MBEYA CITY/"TUMEPIGA PASI MILIONI 3/MZAMIRU ANAJUA SANA"

Leo ndiyo leo, 'WANA KOMA KUMWANYA' Mbeya City wanawakaribisha Simba Sc katika Dimba la CCM kumbukumbu ya ...



MWAMBA HUYU HAPA! TARIQ SEIF AFUNGUKA BAADA YA KUWAFUNGA SIMBA/AMTAJA 'BALOTELI'/"NINA FURAHA"
MWAMBA HUYU HAPA! TARIQ SEIF AFUNGUKA BAADA YA KUWAFUNGA SIMBA/AMTAJA 'BALOTELI'/"NINA FURAHA"

Leo ndiyo leo, 'WANA KOMA KUMWANYA' Mbeya City wanawakaribisha Simba Sc katika Dimba la CCM kumbukumbu ya ...



ONA WACHEZAJI WA YANGA WALIVYOTOKA UWANJANI KIBABE BAADA YA KUIFUNGA DODOMA JIJI....
ONA WACHEZAJI WA YANGA WALIVYOTOKA UWANJANI KIBABE BAADA YA KUIFUNGA DODOMA JIJI....

Ni Jumanne ya Tarehe 22/11/2022 inayowakutanisha walima Zabibu Dodoma Jiji na Wananchi Yanga Sc katika Dimba la CCM ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports