Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Meneja Habari na Wasiliano wa Simba SC Ahmed Ally Amefunguka Maandalizi ya Kikosi Hicho Huku akitanabaisha Wazi kuwa Azam FC Ni dhaifu Mbele Yao na watazichukua Alama Tatu Ugenini Fungua Video Hi Kushuhudia Mahojiano Maalumu na Ahmed Ally Ambaye Amefunguka Mengi Kuelekea Mchezo wa Mzizima Dabi Kati Ya Azam FC na Simba SC #MpenjaTV #SimbaSC #AhmedAlly #SemajiLaCAF #SemajilaSimba
Ni Jumapili iliyopambwa kwa Nakshi za Zabibu na Wananchi wenye Jangwani yao,Ambapo itapigwa Mbungi kali ya ligi kuu ya NBC kati ya Dodoma Jiji Fc dhidi ya Yanga Sc, kwenye Dimba la Jamhuri lililobarikiwa kuwepo kwenye Makao Makuu ya Nchi ya Tanzania ,Jijini Dodoma, Ni Saa kumi Jioni. #MpenjaTv #YangaSc #DodomaJijiFc #DaudiYanga
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally Amesema Maandalizi ya Kuwakabili Pamba FC Yamekamilika na Watavuta Pumzi ya Moto Kwani Wanahitaji kutinga Nusu Fainali ili wakawapasue Yanga na Kuchukua Kombe Hilo Fungua Video Hi Kutazama Mahojiano haya na Ahmed Ally Ambaye Ametamba Kuwapiga Pamba Huku Akipiga Dongo kwa watani wake Yanga kuwa Ni Timu Ndogo #MpenjaTV #SimbaSC #PambaFC #AhmedAlly #SimbaVSPamba #ASFC #Robofainali
Vita ya Alama Tatu Inashuhudiwa Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Saalam Baina ya Simba SC dhidi ya Kagera Sugar Majira ya Saa Moja Usiku Mchezo wa Kwanza Uliopigwa Uwanja wa Kaitaba Mkoani Kagera Wageni Simba SC walipata Kipigo Cha Bao 1-0 Leo Mnyama Simba Anahitaji Kulipa Kisasi Timu ya Mpenja TV Iko Uwanja wa Benjamin Mkapa Tayari Kukusogezea Mambo Yote Yanayojili hapa #MpenjaTV #SimbaSC #Ahmedally #Kagerasugar #SimbaVsKageraSugar #NBCPremierLeague
Ewaaa🔥🔥, Siku ya PTK na Pumzi ya Moto imewadia, Leo Mei 8 2022 Mpenja Tv tupo uwanja Wa Benjamin Mkapa kukuletea matukio yote yanayoendelea kabla na Baada ya mchezo Wa Simba Sc dhidi ya Ruvu Shooting. . Asante Kwa kutuchagua, Endelea kuburidika na Mpenja Tv. . #simbasc #ruvushootingfc #nbcpremeierleague #mpenjatv
Msemaji wa Simba Sc, Ahmed Ally Amezungumza Namna Kikosi kilivyojiandaa Kumenyana na Ruvu Shooting kwenye Mchezo wa ligi kuu ya NBC, Utakaochezwa Jumapili ya Tarehe 8/5/2022,Uwanja wa Benjamin Mkapa, Saa Moja Usiku. #SimbaSc #RuvuShooting #MpenjaTv
Kuelekea Michezo ya Raundi ya 22 na 23 ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Mashabiki wa Soka Wameeleza Hisia zao Juu ya Timu Gani Inakwenda Kutwaa Taji la Ligi kuu Ya NBC Mpenja TV Tumefika Eneo la Mawasiliano Dar es Salaam Na Kuzungumza na Mashabiki Hao Fungua Video Hi Ushuhudie Tambo na Mbwembwe zao #MpenjaTV #NBCPremierLeague #Ubingwa #YangaSC #SimbaSC #LigiKuu #Nanibingwa
🔥🔥🔥Leo May 3, 2022 Unapigwa Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Baina ya Namungo FC dhidi Ya Simba Hapa Katika Uwanja Wa Ilulu Mkoani Lindi Mpenja TV Tumekita Kambi Katika Viunga Wa Dimba la Ilulu na Tunakusogezea Kila Kinachochomoza Hapa - Fungua Video Hi Ufurahie Burudani ya Soka Kutoka Dimba La Ilulu Mkoani Lindi #MpenjaTV #NamungoFC #SimbaSC #NamungovsSimba #NamungonaSimba
Leo Tarehe 27/11/2022 Kwenye Uwanja wa Ushirika Moshi inapigwa Mbungi ya kukata na Shoka kati ya Wafunga Buti, Polisi ...
Leo Tarehe 27/11/2022 Kwenye Uwanja wa Ushirika Moshi inapigwa Mbungi ya kukata na Shoka kati ya Wafunga Buti, Polisi ...
Leo Tarehe 27/11/2022 Kwenye Uwanja wa Ushirika Moshi inapigwa Mbungi ya kukata na Shoka kati ya Wafunga Buti, Polisi ...
Leo Tarehe 27/11/2022 Kwenye Uwanja wa Ushirika Moshi inapigwa Mbungi ya kukata na Shoka kati ya Wafunga Buti, Polisi ...
Mtazame hapa Ofisa habari wa klabu ya Singida Big Stars baada ya kupata ushindi wa goli 1 mbele ya Ruvu Shooting ukiwa ni ...
Hii ni baada ya kutamatika kwa mchezo wa ligi kuu kati ya Yanga Sc na Mbeya City katika uwanja wa Benjamin Mkapa,Yanga ...
Leo majira ya saa 12:15 jioni kutakuwa na mbungi ya kukata na shoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa Kwa Yanga ...
Leo majira ya saa 12:15 jioni kutakuwa na mbungi ya kukata na shoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa Kwa Yanga ...