Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally Amesema Maandalizi ya Kuwakabili Pamba FC Yamekamilika na Watavuta Pumzi ya Moto Kwani Wanahitaji kutinga Nusu Fainali ili wakawapasue Yanga na Kuchukua Kombe Hilo Fungua Video Hi Kutazama Mahojiano haya na Ahmed Ally Ambaye Ametamba Kuwapiga Pamba Huku Akipiga Dongo kwa watani wake Yanga kuwa Ni Timu Ndogo #MpenjaTV #SimbaSC #PambaFC #AhmedAlly #SimbaVSPamba #ASFC #Robofainali
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com