Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

MZINGA: KESHO NI DERBY YA FEI TOTO NA MUDATHIR/YANGA NA AZAM NI DABI YENYE MVUTO/MPIRA UTATEMBEA....
MZINGA: KESHO NI DERBY YA FEI TOTO NA MUDATHIR/YANGA NA AZAM NI DABI YENYE MVUTO/MPIRA UTATEMBEA....

Mtangazaji wa soka kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga ametoa mtazamo wake kiundani mchezo wa Machi 17,2024 wa Ligi Kuu ya NBC PL kati ya Azam FC na Yanga SC, utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa,Saa 2:15 usiku.



VAIBU LA AHMED ALLY NA VIONGOZI BAADA YA KUCHEZESHWA DROO YA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
VAIBU LA AHMED ALLY NA VIONGOZI BAADA YA KUCHEZESHWA DROO YA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC,Ahmed Ally ameungana na baadhi ya Mashabiki kutazama Droo ya robo fainali ligi ya Mabingwa Afrika,inayochezeshwa Leo Machi 12,2024 Cairo Misri.



MASHABIKI WA SIMBA WACHARUKA" TUNATAKA FORWARD/KAMA HAWANA HELA WATUAMBIE TUPITISHE HARAMBEE
MASHABIKI WA SIMBA WACHARUKA" TUNATAKA FORWARD/KAMA HAWANA HELA WATUAMBIE TUPITISHE HARAMBEE

Leo Machi 6,2024 Mnyama Simba anashuka Dimba la Jamhuri Morogoro kumenyana na Wajelajela Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi kuu ya NBC ,Saa 10:00 jioni.



AHMED ALLY ATEMA CHECHE/UNAPOKWENDA VITANI USILETE MIPASHO/TUMEINGIA ROBO FAINALI KIBABE/6G SAAFI
AHMED ALLY ATEMA CHECHE/UNAPOKWENDA VITANI USILETE MIPASHO/TUMEINGIA ROBO FAINALI KIBABE/6G SAAFI

Leo Machi 2,2024 Simba SC inaikaribisha Jwaneng Galaxy ya Botswana katika Uwanja wa Benjamin Mkapa,kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi,Saa 1:00 usiku.



MAZUNGUMZO YA MPENJA NA GHARIB MZINGA/PACOME/AZIZ KI/MUDATHIR/MUSONDA WANATISHA/YANGA HAISHIKIKI
MAZUNGUMZO YA MPENJA NA GHARIB MZINGA/PACOME/AZIZ KI/MUDATHIR/MUSONDA WANATISHA/YANGA HAISHIKIKI

Mtangazaji kinara wa soka nchini, Baraka Mpenja, amefanya mazungumzo na Mtangazaji wa soka wa Azam Media LTD, Gharib Mohamed Ally Mzinga kuhusu mechi ya YANGA SC vs CR Belouizdad. Mzinga ndiye alitangaza mchezo huu ambayo Yanga wameshinda 4-0 na kufuzu Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika.



LIVE:HAWA HAPA DIARRA,AZIZ KI,YAO WAKIWA NA MUONEKANO WA BLICH/PACOME DAY HATARI/YANGA HAWANA DOGO
LIVE:HAWA HAPA DIARRA,AZIZ KI,YAO WAKIWA NA MUONEKANO WA BLICH/PACOME DAY HATARI/YANGA HAWANA DOGO

Kikosi cha Yanga SC kimefanya mazoezi yao ya mwisho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya Mchezo wa Februari 24,2024 wa ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya CR Belouizdad,Utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa,Saa 1:00 jioni.



ALLY KAMWE;KAMA WANAWAONA POLISI TANZANIA WABOVU WAO TULIWAFUNGA NGAPI?/SASA HIVI TUTAONGEZA KIPIMO
ALLY KAMWE;KAMA WANAWAONA POLISI TANZANIA WABOVU WAO TULIWAFUNGA NGAPI?/SASA HIVI TUTAONGEZA KIPIMO

Leo Februari 20,2024 Yanga SC inaialika Polisi Tanzania Uwanja wa Azam Complex Chamazi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam Sports,Saa 1:00 Jioni.



ALLY KAMWE AMVULIA KOFIA AWESU/NITAMSHAWISHI ENG HERSI AMSAJILI YANGA/TUTALIPA KISASI KWA BELOUIZDAD
ALLY KAMWE AMVULIA KOFIA AWESU/NITAMSHAWISHI ENG HERSI AMSAJILI YANGA/TUTALIPA KISASI KWA BELOUIZDAD

Leo Februari 17,2024 KMC FC inashuka Dimba la Jamhuri Morogoro kuikaribisha Yanga SC katika mchezo wa ligu kuu ya NBC,Saa 10:00 Jioni. Kaa karibu na Mpenja TV kupata taarifa zote za kabla na baada ya mchezo huo.



Highlights

SIMBA WALIFANIKIWA HAPA DHIDI YA VIPERS/MASHABIKI WASAHAU PIRA BIRIANI/KIBU DENIS ALIWAKA SANA
SIMBA WALIFANIKIWA HAPA DHIDI YA VIPERS/MASHABIKI WASAHAU PIRA BIRIANI/KIBU DENIS ALIWAKA SANA

Mchambuzi wa Soka,Ramadhan Mbwaduke ' Mzee wa Data' Ameuchambua Mchezo wa Jana wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kati ya ...



#LIVE: REAL BAMAKO VS YANGA SC/HIKI HAPA KIKOSI HATARI CHA BAMAKO/YANGA WAMCHUNGE MCHEZAJI HUYU
#LIVE: REAL BAMAKO VS YANGA SC/HIKI HAPA KIKOSI HATARI CHA BAMAKO/YANGA WAMCHUNGE MCHEZAJI HUYU

Mchambuzi wa Soka,Ramadhan Mbwaduke ' Mzee wa Data' Ameeleza Mtazamo wake kuelekea Mchezo wa Kombe la Shirikisho ...



PAPE SAKHO/JOASH ONYANGO WATOA NENO BAADA YA KUICHAKAZA VIPERS/"HATUKUANZA VIZURI/VIPERS TIMU NGUMU"
PAPE SAKHO/JOASH ONYANGO WATOA NENO BAADA YA KUICHAKAZA VIPERS/"HATUKUANZA VIZURI/VIPERS TIMU NGUMU"

Simba SC wamerejea Nchini wakitokea Uganda baada ya Siku ya Jana kucheza Mchezo wa ligi ya Mabingwa Afrika Hatua ya ...



SIMBA WATUA KIBABE DAR KOCHA ROBERTINHO/MGUNDA WAANIKA SIRI YA USHINDI DHIDI YA VIPERS/"KAZI IMEANZA
SIMBA WATUA KIBABE DAR KOCHA ROBERTINHO/MGUNDA WAANIKA SIRI YA USHINDI DHIDI YA VIPERS/"KAZI IMEANZA

Simba SC wamerejea Nchini wakitokea Uganda baada ya Siku ya Jana kucheza Mchezo wa ligi ya Mabingwa Afrika Hatua ya ...



PASI MILIONI:”SIMBA IMEPIGA PASI MILIONI 45/HUYO CHAMA NI BALAA!/DENIS KIBU KAZALIWA UPYAA”
PASI MILIONI:”SIMBA IMEPIGA PASI MILIONI 45/HUYO CHAMA NI BALAA!/DENIS KIBU KAZALIWA UPYAA”

Mechi ya Ligi ya Mabingwa kati ya Vipers Vs Simba Sc imemalizika kwa Timu Mgeni Simba Sc Kupata Ushindi wa Goli 1-0 na ...



MZARAMO WA SIMBA SC AVURUGWA NA GOLI LA INONGA/“TUMEANZA KAZI KIMATAIFA/ HII NDO SIMBA SASA”.
MZARAMO WA SIMBA SC AVURUGWA NA GOLI LA INONGA/“TUMEANZA KAZI KIMATAIFA/ HII NDO SIMBA SASA”.

Mechi ya Ligi ya Mabingwa kati ya Vipers Vs Simba Sc imemalizika kwa Timu Mgeni Simba Sc Kupata Ushindi wa Goli 1-0 na ...



BAADA YA SARE NA SIMBA SC/ AZAM FC KUCHEZA NA KMC/“TUNA MLIMA MREFU/UBINGWA SIO RAHISI”
BAADA YA SARE NA SIMBA SC/ AZAM FC KUCHEZA NA KMC/“TUNA MLIMA MREFU/UBINGWA SIO RAHISI”

Kivumbi cha Ligi Kuu ya NBC kinaendelea na Hapo kesho kwenye Uwanja wa Chamazi Complex Majira ya Saa 1:00 Jioni Azam ...



WAFAHAMU WAPINZANI WA YANGA REAL BAMAKO/YANGA WAFANYE HIVI KUPATA MATOKEO/WACHEZAJI HATARI HAWA HAPA
WAFAHAMU WAPINZANI WA YANGA REAL BAMAKO/YANGA WAFANYE HIVI KUPATA MATOKEO/WACHEZAJI HATARI HAWA HAPA

Ramadhan Mbwaduke "Mzee wa Data" Ametupa tathmini yakinifu kuelekea Mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports