KidaniStars's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

Simba 3-1 Azam FC, Simba Watua Kibabe Taifa
Simba 3-1 Azam FC, Simba Watua Kibabe Taifa

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Dakika 90 zinakamilika hapa Kwa Mkapa. 90+3 Azam wanapata kona, Simba wanaanua, Mudathiri anaachia muwa unapaa mawinguni. 90+2 Rashid Juma ndani Chama nje. 90+1 Chama anapiga konaKagere anaotea. Dakika 90 zinakamilika zinaongezwa daika 4 89 Manula,Kagere, Mzamiru, Moris anaanua, Kotei,Zana , Dilunga, Chama,Dilunga, Chama, Zimbwe, Mzamiru Atta eneo la hatari 88 Ngoma amacheza faulo kwa Kotei. 84 Chirwa anadondoshwa chini na Zana wanapiga faulo Aggei anashikilia bega la Kagere kichwa kinazama ndani, mwamuzi haipeleki kati, Wawa anatolewa nje. 88 Ngoma amacheza faulo kwa Kotei. 84 Chirwa anadondoshwa chini na Zana wanapiga faulo Aggei anashikilia bega la Kagere kichwa kinazama ndani, mwamuzi haipeleki kati, Wawa anatolewa nje. 83 Domayo, Wawa anachezewa rafu na Chirwa. 80 Zimbwe, Kagere, Zimbwe, Mkude, Kotei,Ngoma anakunjua shuti anampa Domayo anazamisha majalo ya moto yanazama ndani na kurudi uwanjani mwamuzi anaweka kati. 79 Ngoma, Mudathir, Wadada, Sure boy Manula anaunyaka. 77, Yassin, Chama akampa Kagere akamalizia kwa mguu wa kulia kisha wanaenda kuutafuta mpira kwenye nyavu Kager, Zana 76 Zimbwe,Kagere, Chama, Kagere Abarola ananyakua, Wawa anamuachia Manula. 75 Dilunga anapoteza eneo la hatari. 74 Abarola, Mkude, Chama, Yasin, anadodondoshwa chini na Mudathiri anapewa kadi ya njano. 73 Mpira uaendelea, nafasi ya Okwi inachukuliwa na Mzamiru. 72 bado mpira umesimama Okwi anapewa huduma ya kwanza anabebwa kwenye machela na watu wa msalaba mwekundu. 64 Boca anacheza ujanja kwa Yakubu,Sure boy anachezewa faulo na Kotei, Sure boy. 62 Kagere Offside, Muda, NgiomaWawa anakaa vizuri Wawa anachezewa faulo na Chirwa. 61 Zana anamwaga maji mpira unaytolewa nje, Okwi,Wadaa anatoa nje. 60 Abarola anaanzisha mashambulizi 59 Moris, Chama, Yakub,Sure boy,, Kangwa,Abarola, Boco anachezewa rafu 58 Manula, Wawa, Yakubu anaanua 57 Kona, Okwi wanapoteza, Chirwa anapoteza. 56 Manula anaunyaka ukiwa nje ni kona, Okwi, Bukaba Zimbwe. 55 Kagere anapaisha mpira wa Zana 53, Abarola, Mahundi anarusha, Bukaba anatoa nje, Sure, Wadada, Ngoma, Chirwa inakuwa ndefu. 52, Bocco, Chama, Zimbwe, Bocco, Mudathir ,Bukaba, Chirwa chini. 51 Mkude, Zimbwe,Wawa, KangwaAtta, Wawaanampiga kiwiko Atta. 50 Zana,anaokoa kwa kutoa nje. 49 Okwi anacheza rau, Atta Zana 48, Ngoma anatoa nje, Bukaba, Kagere amekaa chini baada ya kupigwa na Mois. 47 Manula Sure boy, Wawa anatoa nje ManulaWadada. Manula 46 Zimbwe,Abarola, Moris, Manula. 45. Ngomaanapaisha mawinguni 45 Mabadiliko kwa Azam FC Kipindi cha pili Kutinyo nje Ngoma Singano nje Ennock Atta. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



Azam fC Walivyoshuka Taifa Kibabe Kumuua Mnyama Simba
Azam fC Walivyoshuka Taifa Kibabe Kumuua Mnyama Simba

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



Alichosema MANARA Kuifunga 3-0 African Lyon, Azam Wanafata
Alichosema MANARA Kuifunga 3-0 African Lyon, Azam Wanafata

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Alichosema Haji Manara Kuifinga 3-0 African Lyon, Azam Wanafata Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



FT: African Lyon  0-3 Simba Uwanja Sheikh Amri Abeid Arusha
FT: African Lyon 0-3 Simba Uwanja Sheikh Amri Abeid Arusha

African Lyon 0-3 Simba Bocco 28' Salamba 45' John Bocco 46 Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Dakika ya 90+3 Lyon wanamfuata Manua, Gyan anaanua na filimbi ya mwisho inapulizwa. Dakika ya 90+2 Lyon wanapata kona Dakika ya 90+1 Bocco anaotea Dakika 90 zinakamilika zinaongezwa dakika 3 Dakika ya 88 Lyon wanato mpira nje, Bocco, Abdul anapiga shuti linadakwa na mlinda mlango wa Lyon Dakika ya 85 Dilunga anatka anaingia Abdalah Seleman Dakika ya 83 Manula anaanzisha mashambulizi kwenda Lyon Dakika ya 80 Wawa anatoka nje anaingia Mliili Dakika ya 77 Ngonyan anapeleka mashambulzi kwa Manula, wanapata kona ya kwanza Lyon inapigwa na Jabir Aziz Simba wanaanua. Dakika 76 Bocco anaotea Dakika ya 75 Mtikila anapeleka mashambulizi yanaishia kwa Manula, Niyonzima, Gyan,Dilunga, Gyan mlinda mlango anaokoa. Dakika ya 74 Rashid Mtabwiga anaingia Jonas Mkude Dakika ya 73 Juma, Yassin, Bocco anacheza rafu. Dakika ya 70 Rashid Juma, Bocco,Gyan, Boco anachezewa rafu Bocco. Dakika ya 64 Ngonyani anazisha mashambulizi, wanapata faulo mabeki wa Simba wanaanua. Dakika ya 63 Lyon wanamfuata Manula, maeki wanazuia, mpiraunarushwa na Lyon Said Mtikia anapoteza mpira. Dakika ya 62 Gyan anaruha kwenda Lyon , mabeki wanaondoa, Wawa mpira unatoka nje Dakika ya 59 Gyan, Niyonzima anawekwa chini na mchezaji wa Lyon, Gyan anajaza ndani mlinda mlango wa Lyon anaudaka, mchezaji wa Lyon anatoa nje mpira unakwa ni wakurushwa na Gyan, Salmba inakamatwa na mlinda mlango. 45 zinakamilika zinaongezwa dakika 4 Dakika 40+4 Simba wanaanza mashambulizi Dakika 40+3 Lyon wanaanza safari kwa Manula Dakika ya 40+2 Simba wanaanza mashambulizi kwa Lyon Dakika ya 40+1 mashambulizi Lyon kwenda kwa Lyon. Dakika ya 45 Simba wanaanza mashambulizi Dakika ya 44 Niyonzima, Gyan,Bocco mlinda mlango anatema Salamba anamalizia na kukimbilia kwa mwalimu wake wa viungo. Dakika ya 43, Niyonzima, Bocco, Juma, Salamba anaotea akiwa amepasiha mawinguni mpira. Dakika ya 42 Rashid anapaka rangi mpia akiwa eneo la hatari mabeki wanaizuia, Gyan , Niyozima anaenyeza ndani mabeki wanaokoa. Dakika ya 41 Lyon wanapasiha mawinguni mpira kwa Manula, Yassin anapeleka pasi mbele inayomkuta Salamba anazidiwa maarifa na mabeki wa Lyon. Dakika ya 40 Niyonzima anapoteza pasi akiwa karbu na eneo la hatari. Dakika ya 39 Salamba anacheza rafu kwa mchezaji wa Lyon. Dakika ya 38 Dilunga anapoteza mpira ndani ya box Dakika ya 37 Gyan anatoa Boco, Lyon wanaanza kisha wanapoteza kwa Simba, wanafanikiwa kuupata na kupiga shuti linaishia kwa Manula. Dakika ya 35 mchezaji wa Lyon yupo chini akipewa huduma ya kwanza pamoja na mlinda mlango Dakika ya 34 Lyon wanaanza safari kwa Manula, Kwasi anaopata mpira na kuanza safari kwa Lyon mlinda mlango anaukamata. Dakika ya 33 Lyon wnaanza safari nyingine kwa Manula, Gyan anarusha na safari kwenda Lyon inaanza mabeki wanaanua hatari, Lyon wanawatingisha Simba mabeki wanaanua. Dakika ya 32 Lyon wanaanza safari kwenda kwa Manula. Dakika ya 31 Boco analazimisha kuingia eneo la hatari anazuiliwa Dakika ya 29 Lyon wanamfuata Manula Bocco anafunga bao la penalti dakika ya 28 kwa mguu wa kulia. Dakika ya 27 Lorrandi Msonjo wa Lyon anaonyeshwa kadi ya njano Dakika ya 25 Niyonzima anapiga faulo inaonolewa eneo la hatari, Wawa anarudisha ndani mchezaji wa Lyon ananawa mpira. Dakika ya 24 mchezaji wa Lyon anamchezea rafu Rashid Juma. Dakika ya 24 Rashid Juma anapiga kicha kinachoishia mikononi mwa minda mlango wa Lyon. Dakika ya 22 Niyonzima anapata majeraha kwenye mguu wa kulia anapewa huduma ya kwanza. Dakika ya 21 Niyonzima aamchezea faulo mchezaji wa Lyon. Dakika ya 21 Lyon wanafanya shambulizi kwa Manula. Dakika ya 21 Rashid Juma anapoteza mpira akiwa eneo la hatari. Dakika ya 20 Mzamiru anaondosha eneo la hatari mpira Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



Tunda Man&Shetta Wafunguka Ushindi Wa Simba Dhidi Ya Al Ahly
Tunda Man&Shetta Wafunguka Ushindi Wa Simba Dhidi Ya Al Ahly

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars BAO la Meddie Kagere wa Simba, alilopachika wavuni dakika ya 64 dhidi ya Al Ahly ya Misri kwenye mchezo wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika lilitosha kuwamaliza waarabu na kubakiza pointi tatu Uwanja wa Taifa. Mchezo huo ulikuwa ni wa marudio kwa Simba baada ya kupoteza mchezo wa kwanza ugenini kwa kuchapwa mabao 5-0, wao leo wameamua kumuonjesha joto ya jiwe. Iliwalazimu Simba kusubiri mpaka dakika ya 64 baada ya mashambulizi ya muda mrefu kushindwa kuzaa matunda. Zana Coulibary ikiwa ni mchezo wake wa kwanza alianzisha mashambulizi pembeni kwa kumpa pasi John Bocco ambaye alituliza kwenye kifua na mpira kumfikia Kagere aliyemalizia kwa shuti lililozama ndani ya wavu. Kwa ushindi huo Simba wanakusanya pointi tatu na kufikisha jumla ya pointi sita wakiwa kundi D huku Al Ahly wakibaki na pointi zao saba wakiwa nafasi ya kwanza. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



Simba Waondoka Kibabe Taifa Baada Ya Kuwafunga Al Ahly
Simba Waondoka Kibabe Taifa Baada Ya Kuwafunga Al Ahly

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars BAO la Meddie Kagere wa Simba, alilopachika wavuni dakika ya 64 dhidi ya Al Ahly ya Misri kwenye mchezo wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika lilitosha kuwamaliza waarabu na kubakiza pointi tatu Uwanja wa Taifa. Mchezo huo ulikuwa ni wa marudio kwa Simba baada ya kupoteza mchezo wa kwanza ugenini kwa kuchapwa mabao 5-0, wao leo wameamua kumuonjesha joto ya jiwe. Iliwalazimu Simba kusubiri mpaka dakika ya 64 baada ya mashambulizi ya muda mrefu kushindwa kuzaa matunda. Zana Coulibary ikiwa ni mchezo wake wa kwanza alianzisha mashambulizi pembeni kwa kumpa pasi John Bocco ambaye alituliza kwenye kifua na mpira kumfikia Kagere aliyemalizia kwa shuti lililozama ndani ya wavu. Kwa ushindi huo Simba wanakusanya pointi tatu na kufikisha jumla ya pointi sita wakiwa kundi D huku Al Ahly wakibaki na pointi zao saba wakiwa nafasi ya kwanza. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



FT: SIMBA 1-0 AL AHLY, LIGI YA MABINGWA,KIKOSI CHA SIMBA KILIVYOTUA TAIFA
FT: SIMBA 1-0 AL AHLY, LIGI YA MABINGWA,KIKOSI CHA SIMBA KILIVYOTUA TAIFA

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA 1-0 AL AHLY Dakika 90 zinamalizika Simba 1-0 Al Ahly Uwanja wa Taifa na Simba wanavuna pointi tatu nyumbani. Dakika ya 90+4 Simba wanapata kona Dakika ya 90 + 3 Kagere anadondoka, mpira unaendelea Dakika ya 90 Kotei anatolewa nje akiwa ameumia anaingia Mzamiru Yassin Dakika ya 90 Waarabu wanapaisha mpira mawinguni wakiwa eneo la hatari. Dakika nne zinaongezwa Taifa, Simba wameacha kukaba Dakika ya 90 mwarabu anakosa bao la wazi Dakika ya 89 Kotei anapiga mpira nje kwa waarabu Dakika ya 87 Manula anaamka na mpira unaanza kwenda kwa Waarabu. Dakika ya 85 Manula alikwenda hewani wakati anashuka anaangukia mgongo. Dakika ya 84 Simba wanaanza mashambulizi kwenda kwa Mwarabu, Mpira unatolewa nje anarusha Zimbwe, Kagere, wanadaka Waarabu. Dakika ya 83 Mkude anauza kwa waarabu. Dakika ya 82 Waarabu wanapata faulo inachezwa vizuri ila kichwa cha Mwarabu kinapaa Mawinguni. Dakika ya 81 Bocco anatolewa nafasi yake inachukuliwa na Dilunga. Dakika ya 81 Chama anapoteza Mpira kwa waarabu wanaanza safari kwa Manula sasa, Juuko anacheza rafu Dakika ya 80 Manula ananyanyuka, Waarabu wanaanza safari kumfuata sasa. Dakika ya 79 bado Manula anagangwagangwa Uwanjani. Dakika ya 77 Zana anakaba,ila bado waarabu wanamuwinda Manula anaokoa baada ya mabeki kukabia kwa macho na kumuumiza Manula. Dakika ya 76 Kagere alipata pasi kutoka kwa Kotei akapaisha mpira mawinguni. Dakika ya 75 Waarabu wanamchezea rafu Kotei Dakika ya 75 bado waarabu wapo kwa mshikaji Manula Dakika ya 74 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula wao karibu na eneo la hatar sasa Dakika ya 73 waarabu wanaanza safari kwa Manula Dakika ya 72 Kotei anacheza rafu kwa waarabu wanapata faulo haziai matunda. Dakika ya 71 Okwi anarejea Uwanjani kuwavaa waarabu. Dakika ya 69 Okwi anatolewa akiwa kwenye machela. Dakika ya 67, Mkude, Bocco mchezaji wa Simba anapata majeraha dakika ya 68 Okwi baada ya kuanguka na kupoteza fahamu kwa muda wa dakika kadhaa. Dakika ya 66 Chama anatoa Mpira nje Dakika ya 64 Kagere anaandika bao tamu na kumyayua Mohamed 'Mo' akitumia pasi ya Bocco ya kifua baada ya kupokea pasi ya mmwaga maji Zana. Dakika ya 63 Waarabu wanamfuata Manula , Wawa anaanua hatari. Dakika ya 62 Bocco anatoa Boko akiwa eneo la hatari baada ya kupewa pasi na Okwi Dakika ya 61 Simba wanarusha kwa kumtumia Mohamed Dakika ya 60 Zana aliingiza majaro ya hatari eneo la hatari ila mira ukababatizwa ukatoka nje goal kick. Dakika ya 59 Juuko anapoteza kwa waarabu, Wawa anafanya yake, Chama, Kagere anapoteza. Dakika ya 58 Mkude anamsumbua Mwarabu na kumchezea faulo. Dakika 90 zinamaliizika Simba 1-0 Al Ahly Dakika ya 90+4 Simba wanapata kona Dakika ya 90 + 3 Kagere anadondoka, mpira unaendelea Dakika ya 90 Kotei anatolewa nje akiwa ameumia anaingia Mzamiru Yassin Dakika ya 90 Waarabu wanapaisha mpira mawinguni wakiwa eneo la hatari. Dakika nne zinaongezwa Taifa, Simba wameacha kukaba Dakika ya 90 mwarabu anakosa bao la wazi Dakika ya 89 Kotei anapiga mpira nje kwa waarabu Dakika ya 88 Waarabu wanaanza safari kwa Manula baada ya Dilunga kucheza faulo. Dakika ya 57 Waarabu wanaanza safari kwa Manula Juuko anaanua Dakika ya 57 Wawa anauza kwa waarabu. Dakika ya 56 Juuko Murshid anagangwa gangwa guu lake la kushoto. Dakika ya 55 Okwi anamchezea faulo Mwarabu karibu na eneo la hatari, Waarabu wanatumia nafasi ila mpira unapaa mawinguni. Dakika ya 54 Zana anauza kwa Waarabu Dakika ya 53 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula, wanarejea nyumbani kisha wanaendela kupitia kwa Mohamed, Ramadhan, Khalid, Junior Wawa anazuia. Dakika ya 52 Kager anashindwa kutumia nafasi ya mpira wa Zana. Dakika ya 51 Waarabu wanapata faulo na mlinda mlango wao anapata hudua ya kwanza. Kikosi cha Simba kitakachocheza mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly: Aishi Manunula, Zaha Coulibaly, Asante Kwasi, Juuko Murshid, Pascal Wawa, James Kotei, Clstous Chama, Jonas Mkude, John Mkude, John Bocco, Meddie Kagere, Emmanuel Okwi. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



Mo Dewji: Simba vs Al Ahly Nitakuwepo Uwanja Wa Taifa Kuishangilia
Mo Dewji: Simba vs Al Ahly Nitakuwepo Uwanja Wa Taifa Kuishangilia

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Akizungumza na wandishi wa habari Mo ametaja kingilio cha shillingi 2000/- na kusisitiza kuwa ndoto yake ni kuona Simba wanakua mabingwa wa kombe hilo na ameahidi kueendelea kuwekeza zaidi katika timu hiyo. Pamoja na mambo mengine Mo pia amezungumzia matokeo ya mabaya ya simba na kusisitiza nidham kwa wachezaji kuelekea mchezo huo na kufungwa ni kawaida Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports