FT: SIMBA 1-0 AL AHLY, LIGI YA MABINGWA,KIKOSI CHA SIMBA KILIVYOTUA TAIFA by @KidaniStars - Post Details

FT: SIMBA 1-0 AL AHLY, LIGI YA MABINGWA,KIKOSI CHA SIMBA KILIVYOTUA TAIFA

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA 1-0 AL AHLY Dakika 90 zinamalizika Simba 1-0 Al Ahly Uwanja wa Taifa na Simba wanavuna pointi tatu nyumbani. Dakika ya 90+4 Simba wanapata kona Dakika ya 90 + 3 Kagere anadondoka, mpira unaendelea Dakika ya 90 Kotei anatolewa nje akiwa ameumia anaingia Mzamiru Yassin Dakika ya 90 Waarabu wanapaisha mpira mawinguni wakiwa eneo la hatari. Dakika nne zinaongezwa Taifa, Simba wameacha kukaba Dakika ya 90 mwarabu anakosa bao la wazi Dakika ya 89 Kotei anapiga mpira nje kwa waarabu Dakika ya 87 Manula anaamka na mpira unaanza kwenda kwa Waarabu. Dakika ya 85 Manula alikwenda hewani wakati anashuka anaangukia mgongo. Dakika ya 84 Simba wanaanza mashambulizi kwenda kwa Mwarabu, Mpira unatolewa nje anarusha Zimbwe, Kagere, wanadaka Waarabu. Dakika ya 83 Mkude anauza kwa waarabu. Dakika ya 82 Waarabu wanapata faulo inachezwa vizuri ila kichwa cha Mwarabu kinapaa Mawinguni. Dakika ya 81 Bocco anatolewa nafasi yake inachukuliwa na Dilunga. Dakika ya 81 Chama anapoteza Mpira kwa waarabu wanaanza safari kwa Manula sasa, Juuko anacheza rafu Dakika ya 80 Manula ananyanyuka, Waarabu wanaanza safari kumfuata sasa. Dakika ya 79 bado Manula anagangwagangwa Uwanjani. Dakika ya 77 Zana anakaba,ila bado waarabu wanamuwinda Manula anaokoa baada ya mabeki kukabia kwa macho na kumuumiza Manula. Dakika ya 76 Kagere alipata pasi kutoka kwa Kotei akapaisha mpira mawinguni. Dakika ya 75 Waarabu wanamchezea rafu Kotei Dakika ya 75 bado waarabu wapo kwa mshikaji Manula Dakika ya 74 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula wao karibu na eneo la hatar sasa Dakika ya 73 waarabu wanaanza safari kwa Manula Dakika ya 72 Kotei anacheza rafu kwa waarabu wanapata faulo haziai matunda. Dakika ya 71 Okwi anarejea Uwanjani kuwavaa waarabu. Dakika ya 69 Okwi anatolewa akiwa kwenye machela. Dakika ya 67, Mkude, Bocco mchezaji wa Simba anapata majeraha dakika ya 68 Okwi baada ya kuanguka na kupoteza fahamu kwa muda wa dakika kadhaa. Dakika ya 66 Chama anatoa Mpira nje Dakika ya 64 Kagere anaandika bao tamu na kumyayua Mohamed 'Mo' akitumia pasi ya Bocco ya kifua baada ya kupokea pasi ya mmwaga maji Zana. Dakika ya 63 Waarabu wanamfuata Manula , Wawa anaanua hatari. Dakika ya 62 Bocco anatoa Boko akiwa eneo la hatari baada ya kupewa pasi na Okwi Dakika ya 61 Simba wanarusha kwa kumtumia Mohamed Dakika ya 60 Zana aliingiza majaro ya hatari eneo la hatari ila mira ukababatizwa ukatoka nje goal kick. Dakika ya 59 Juuko anapoteza kwa waarabu, Wawa anafanya yake, Chama, Kagere anapoteza. Dakika ya 58 Mkude anamsumbua Mwarabu na kumchezea faulo. Dakika 90 zinamaliizika Simba 1-0 Al Ahly Dakika ya 90+4 Simba wanapata kona Dakika ya 90 + 3 Kagere anadondoka, mpira unaendelea Dakika ya 90 Kotei anatolewa nje akiwa ameumia anaingia Mzamiru Yassin Dakika ya 90 Waarabu wanapaisha mpira mawinguni wakiwa eneo la hatari. Dakika nne zinaongezwa Taifa, Simba wameacha kukaba Dakika ya 90 mwarabu anakosa bao la wazi Dakika ya 89 Kotei anapiga mpira nje kwa waarabu Dakika ya 88 Waarabu wanaanza safari kwa Manula baada ya Dilunga kucheza faulo. Dakika ya 57 Waarabu wanaanza safari kwa Manula Juuko anaanua Dakika ya 57 Wawa anauza kwa waarabu. Dakika ya 56 Juuko Murshid anagangwa gangwa guu lake la kushoto. Dakika ya 55 Okwi anamchezea faulo Mwarabu karibu na eneo la hatari, Waarabu wanatumia nafasi ila mpira unapaa mawinguni. Dakika ya 54 Zana anauza kwa Waarabu Dakika ya 53 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula, wanarejea nyumbani kisha wanaendela kupitia kwa Mohamed, Ramadhan, Khalid, Junior Wawa anazuia. Dakika ya 52 Kager anashindwa kutumia nafasi ya mpira wa Zana. Dakika ya 51 Waarabu wanapata faulo na mlinda mlango wao anapata hudua ya kwanza. Kikosi cha Simba kitakachocheza mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly: Aishi Manunula, Zaha Coulibaly, Asante Kwasi, Juuko Murshid, Pascal Wawa, James Kotei, Clstous Chama, Jonas Mkude, John Mkude, John Bocco, Meddie Kagere, Emmanuel Okwi. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars

Similar Posts!

USAJILI WA PACOME KUJA SIMBA, AHMED ALLY AFUNGUKA UKWELI WOTE, TSHABALALA ANAKWENDA YANGA?
USAJILI WA PACOME KUJA SIMBA, AHMED ALLY AFUNGUKA UKWELI WOTE, TSHABALALA ANAKWENDA YANGA?

USAJILI WA PACOME KUJA SIMBA, AHMED ALLY AFUNGUKA UKWELI WOTE, TSHABALALA ANAKWENDA YANGA? : : SIMBA NA YANGA MECHI YA DERBY DERBY YA KARIAKOO KUFUNGWA KWA KANISA LA GWAJIMA JOSEPHAT GWAJIMA MBUNGE WA KAWE MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA RAIS SAMIA SULUHU JAKAYA KIKWETE WAZIRI MKUU MAJALIWA CCM DODOMA FAINALI YA BERKANE VS SIMBA UWANJA WA AMANI ZANZIBAR WAARABU MOROCCO WAIPIGIA SALUTI SIMBA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA #shorts #viralshorts #simbasc #simbavsrsbeekane #amanizanzibar #uwanjawaamani #benjaminmkapa #eliempanzu #yanga #yangasc #cafchampionleague #cafconfiderationcup #rsberkane #uwanjawamkapa #simbavsyanga #millardayo #globaltvonline #ayomatv #jambotv #wasafi #wasafitv #wasafimedia #wasafifm #ahmedally #cloudsfm #jeancharlesTelegram: Karibu upate Habari za uhakika hapa Champion Habari Habari za Siasa | Kijamii | Michezo | Burudani na Uchambuzi. WASILIANA NASI +255 655 100 695 Email: championhabari@gmail.com Follow us Instagram: championhabari Instagram:https://www.instagram.com/champion_habari?igsh=MXF5aWNqaWFqdXVjbA==



UTASHANGAA!! ZOU WA YANGA AIBUA MAPYA KWA WACHEZAJI!
UTASHANGAA!! ZOU WA YANGA AIBUA MAPYA KWA WACHEZAJI!

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV



ALICHOKISEMA SKUDU WA YANGA BAADA YA KUWAFUNGA KAIZER CHIEF
ALICHOKISEMA SKUDU WA YANGA BAADA YA KUWAFUNGA KAIZER CHIEF

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya vigogo ...



SIKIA TAMBO ZA RAGE WA SIMBA HOROYA KUPIGWA BAO 7, TUMETINGA ROBO FAINALI
SIKIA TAMBO ZA RAGE WA SIMBA HOROYA KUPIGWA BAO 7, TUMETINGA ROBO FAINALI

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...



MAZEMBE WAIGOMEA YANGA KUPANDA BASI PRIVADINHO AWAKA TUTAWAONYESHA UWANJANI
MAZEMBE WAIGOMEA YANGA KUPANDA BASI PRIVADINHO AWAKA TUTAWAONYESHA UWANJANI

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV



RAJA CASABLANCA WATUA DAR KIBABE MECHI YA KIBABE DHIDI SIMBA
RAJA CASABLANCA WATUA DAR KIBABE MECHI YA KIBABE DHIDI SIMBA

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...



MANGUNGU KWA MARA YA KWANZA " HII NDIO SIMBA TUTABEBA UBINGWA"
MANGUNGU KWA MARA YA KWANZA " HII NDIO SIMBA TUTABEBA UBINGWA"

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...