Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Akizungumza na wandishi wa habari Mo ametaja kingilio cha shillingi 2000/- na kusisitiza kuwa ndoto yake ni kuona Simba wanakua mabingwa wa kombe hilo na ameahidi kueendelea kuwekeza zaidi katika timu hiyo. Pamoja na mambo mengine Mo pia amezungumzia matokeo ya mabaya ya simba na kusisitiza nidham kwa wachezaji kuelekea mchezo huo na kufungwa ni kawaida Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars