African Lyon 0-3 Simba Bocco 28' Salamba 45' John Bocco 46 Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Dakika ya 90+3 Lyon wanamfuata Manua, Gyan anaanua na filimbi ya mwisho inapulizwa. Dakika ya 90+2 Lyon wanapata kona Dakika ya 90+1 Bocco anaotea Dakika 90 zinakamilika zinaongezwa dakika 3 Dakika ya 88 Lyon wanato mpira nje, Bocco, Abdul anapiga shuti linadakwa na mlinda mlango wa Lyon Dakika ya 85 Dilunga anatka anaingia Abdalah Seleman Dakika ya 83 Manula anaanzisha mashambulizi kwenda Lyon Dakika ya 80 Wawa anatoka nje anaingia Mliili Dakika ya 77 Ngonyan anapeleka mashambulzi kwa Manula, wanapata kona ya kwanza Lyon inapigwa na Jabir Aziz Simba wanaanua. Dakika 76 Bocco anaotea Dakika ya 75 Mtikila anapeleka mashambulizi yanaishia kwa Manula, Niyonzima, Gyan,Dilunga, Gyan mlinda mlango anaokoa. Dakika ya 74 Rashid Mtabwiga anaingia Jonas Mkude Dakika ya 73 Juma, Yassin, Bocco anacheza rafu. Dakika ya 70 Rashid Juma, Bocco,Gyan, Boco anachezewa rafu Bocco. Dakika ya 64 Ngonyani anazisha mashambulizi, wanapata faulo mabeki wa Simba wanaanua. Dakika ya 63 Lyon wanamfuata Manula, maeki wanazuia, mpiraunarushwa na Lyon Said Mtikia anapoteza mpira. Dakika ya 62 Gyan anaruha kwenda Lyon , mabeki wanaondoa, Wawa mpira unatoka nje Dakika ya 59 Gyan, Niyonzima anawekwa chini na mchezaji wa Lyon, Gyan anajaza ndani mlinda mlango wa Lyon anaudaka, mchezaji wa Lyon anatoa nje mpira unakwa ni wakurushwa na Gyan, Salmba inakamatwa na mlinda mlango. 45 zinakamilika zinaongezwa dakika 4 Dakika 40+4 Simba wanaanza mashambulizi Dakika 40+3 Lyon wanaanza safari kwa Manula Dakika ya 40+2 Simba wanaanza mashambulizi kwa Lyon Dakika ya 40+1 mashambulizi Lyon kwenda kwa Lyon. Dakika ya 45 Simba wanaanza mashambulizi Dakika ya 44 Niyonzima, Gyan,Bocco mlinda mlango anatema Salamba anamalizia na kukimbilia kwa mwalimu wake wa viungo. Dakika ya 43, Niyonzima, Bocco, Juma, Salamba anaotea akiwa amepasiha mawinguni mpira. Dakika ya 42 Rashid anapaka rangi mpia akiwa eneo la hatari mabeki wanaizuia, Gyan , Niyozima anaenyeza ndani mabeki wanaokoa. Dakika ya 41 Lyon wanapasiha mawinguni mpira kwa Manula, Yassin anapeleka pasi mbele inayomkuta Salamba anazidiwa maarifa na mabeki wa Lyon. Dakika ya 40 Niyonzima anapoteza pasi akiwa karbu na eneo la hatari. Dakika ya 39 Salamba anacheza rafu kwa mchezaji wa Lyon. Dakika ya 38 Dilunga anapoteza mpira ndani ya box Dakika ya 37 Gyan anatoa Boco, Lyon wanaanza kisha wanapoteza kwa Simba, wanafanikiwa kuupata na kupiga shuti linaishia kwa Manula. Dakika ya 35 mchezaji wa Lyon yupo chini akipewa huduma ya kwanza pamoja na mlinda mlango Dakika ya 34 Lyon wanaanza safari kwa Manula, Kwasi anaopata mpira na kuanza safari kwa Lyon mlinda mlango anaukamata. Dakika ya 33 Lyon wnaanza safari nyingine kwa Manula, Gyan anarusha na safari kwenda Lyon inaanza mabeki wanaanua hatari, Lyon wanawatingisha Simba mabeki wanaanua. Dakika ya 32 Lyon wanaanza safari kwenda kwa Manula. Dakika ya 31 Boco analazimisha kuingia eneo la hatari anazuiliwa Dakika ya 29 Lyon wanamfuata Manula Bocco anafunga bao la penalti dakika ya 28 kwa mguu wa kulia. Dakika ya 27 Lorrandi Msonjo wa Lyon anaonyeshwa kadi ya njano Dakika ya 25 Niyonzima anapiga faulo inaonolewa eneo la hatari, Wawa anarudisha ndani mchezaji wa Lyon ananawa mpira. Dakika ya 24 mchezaji wa Lyon anamchezea rafu Rashid Juma. Dakika ya 24 Rashid Juma anapiga kicha kinachoishia mikononi mwa minda mlango wa Lyon. Dakika ya 22 Niyonzima anapata majeraha kwenye mguu wa kulia anapewa huduma ya kwanza. Dakika ya 21 Niyonzima aamchezea faulo mchezaji wa Lyon. Dakika ya 21 Lyon wanafanya shambulizi kwa Manula. Dakika ya 21 Rashid Juma anapoteza mpira akiwa eneo la hatari. Dakika ya 20 Mzamiru anaondosha eneo la hatari mpira Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
USAJILI WA PACOME KUJA SIMBA, AHMED ALLY AFUNGUKA UKWELI WOTE, TSHABALALA ANAKWENDA YANGA? : : SIMBA NA YANGA MECHI YA DERBY DERBY YA KARIAKOO KUFUNGWA KWA KANISA LA GWAJIMA JOSEPHAT GWAJIMA MBUNGE WA KAWE MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA RAIS SAMIA SULUHU JAKAYA KIKWETE WAZIRI MKUU MAJALIWA CCM DODOMA FAINALI YA BERKANE VS SIMBA UWANJA WA AMANI ZANZIBAR WAARABU MOROCCO WAIPIGIA SALUTI SIMBA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA #shorts #viralshorts #simbasc #simbavsrsbeekane #amanizanzibar #uwanjawaamani #benjaminmkapa #eliempanzu #yanga #yangasc #cafchampionleague #cafconfiderationcup #rsberkane #uwanjawamkapa #simbavsyanga #millardayo #globaltvonline #ayomatv #jambotv #wasafi #wasafitv #wasafimedia #wasafifm #ahmedally #cloudsfm #jeancharlesTelegram: Karibu upate Habari za uhakika hapa Champion Habari Habari za Siasa | Kijamii | Michezo | Burudani na Uchambuzi. WASILIANA NASI +255 655 100 695 Email: championhabari@gmail.com Follow us Instagram: championhabari Instagram:https://www.instagram.com/champion_habari?igsh=MXF5aWNqaWFqdXVjbA==
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya vigogo ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...