Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars BAO la Meddie Kagere wa Simba, alilopachika wavuni dakika ya 64 dhidi ya Al Ahly ya Misri kwenye mchezo wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika lilitosha kuwamaliza waarabu na kubakiza pointi tatu Uwanja wa Taifa. Mchezo huo ulikuwa ni wa marudio kwa Simba baada ya kupoteza mchezo wa kwanza ugenini kwa kuchapwa mabao 5-0, wao leo wameamua kumuonjesha joto ya jiwe. Iliwalazimu Simba kusubiri mpaka dakika ya 64 baada ya mashambulizi ya muda mrefu kushindwa kuzaa matunda. Zana Coulibary ikiwa ni mchezo wake wa kwanza alianzisha mashambulizi pembeni kwa kumpa pasi John Bocco ambaye alituliza kwenye kifua na mpira kumfikia Kagere aliyemalizia kwa shuti lililozama ndani ya wavu. Kwa ushindi huo Simba wanakusanya pointi tatu na kufikisha jumla ya pointi sita wakiwa kundi D huku Al Ahly wakibaki na pointi zao saba wakiwa nafasi ya kwanza. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya vigogo ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...