President Uhuru in Tanzania for private meeting with Magufuli
President Uhuru in Tanzania for private meeting with Magufuli

President Uhuru Kenyatta has left for Tanzania for what is a closely guarded meeting with President John Pombe Magufuli. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntv.nation.co .ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya



How Kenya will qualify to the round of 16 | AFCON 2019 | Analysis & Highlights
How Kenya will qualify to the round of 16 | AFCON 2019 | Analysis & Highlights

Rais Uhuru amwaga pombe nchi ikiridima kwa furaha. Pata Matukio yote pamoja na uchambuzi mantiki ya mechi zote za Harambee stars pamoja na jinsi Harambee stars wataweza kuuzu katika raundi ya muondoano https://youtu.be/iIwrIXVgq4Y



KIPYENGA CHA MWISHO 23/05/2019: Singida vs Simba, Biashara vs Ruvu, Yanga vs Mbeya - Matukio tata
KIPYENGA CHA MWISHO 23/05/2019: Singida vs Simba, Biashara vs Ruvu, Yanga vs Mbeya - Matukio tata

Miongoni mwa mechi zilizozua gumzo wiki hii ni ile iliyopigwa mjini Singida na Simba kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Singida United mabao 2-0 pamoja na ile ya Biashara United vs Ruvu Shooting iliyopigwa Musoma na Biashara kushinda mabao 2-1. Katika mechi hizi palikuwa na matukio yaliyozua utata na hapa Osman Kazi anayatolea ufafanuzi. Mechi nyingine ni Simba vs Ndanda na Yanga vs Mbeya City zilizopigwa Uwanja wa Uhuru na



SIMBA SC 2-0 NDANDA SC; HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (TPL - 19/05/2019)
SIMBA SC 2-0 NDANDA SC; HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (TPL - 19/05/2019)

Simba SC imebakiza pointi mbili katika michezo mitatu iliyosalia kutetea taji lake la Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya leo kuichapa Ndanda SC kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam na kufikisha pointi 88 kileleni mwa msimamo wa ligi. Mabingwa hao watetezi wamepata ushindi wa mabao 2-0 yote yakifungwa na Meddie Kagere ndani ya dakika kumi, akianza dakika ya 6 kwa pasi ya John Bocco, kisha dakika ya 11 kwa pasi ya Clatous Chama. Mabao hayo yamemfanya Kagere kufikisha jumla ya magoli 22 kwenye ligi kuu msimu huu, akimuacha kwa mbali mshambuliaji wa Yanga Heritier Makambo na mshambuliaji wa Mwadui FC Salim Aiyee wenye magoli 16 kila mmoja, huku Emmanuel Okwi na John Bocco wa Simba pia wakiwa nyuma yao na mabao 15 kila mmoja. Baada ya mchezo wa leo, Simba inasafiri kwenda mjini Singida ambako itacheza na Singida United Jumanne ya Mei 21, 2019, na endapo watapata ushindi basi shughuli itakuwa imekwisha msimu huu kwani watakuwa wamefikisha pointi 91 ambazo hazitaweza kufikiwa na timu yoyote. Kwa upande wao Ndanda SC wameendelea kubaki kwenye nafasi yao ya nane wakiwa na pointi 47 na wamekiza mechi mbili ambzo zote watacheza nyumbani kwao Mtwara.



MASANJA Alivyomuiga MWALIMU KASHASHA SIMBA VS NDANDA
MASANJA Alivyomuiga MWALIMU KASHASHA SIMBA VS NDANDA

MASANJA Alivyomuiga MWALIMU KASHASHA SIMBA VS NDANDA Muigizaji wa vichekesho pamoja na msanii wa nyimbo za injli Emmanule Maarufu Masanja leo alikuwepo katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kushihudia mechi ya Simba na Ndanda ambapo simba imeweza kuchukua pointi tatu muhimu. Masanja amemuiga mchambuzi wa kimataifa ambaye anapendwa na watu wengi na yeye ni mmoja wa watu ambao wanamkubali mwalimu kashasja ambapo ameigizia uchambuzi wake. #MASANJA #MWALIMUKASHASHA Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



CHEKI Walichokifanya Mashabiki Hawa wa SIMBA Wawasubiri SEVILLA
CHEKI Walichokifanya Mashabiki Hawa wa SIMBA Wawasubiri SEVILLA

CHEKI Walichokifanya Mashabiki Hawa wa SIMBA Wawasubiri SEVILLA MABINGWA watetezi Simba leo wamebeba pointi tatu mbele ya Ndanda FC na kuanza kunukia ubingwa wa ligi msimu huu kwa ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa uwanja wa Uhuru. Meddie Kagere kipindi cha kwanza amepachika mabao yote mawili ambapo bao la kwanza amefunga dakika ya tatu akimalizia pasi ya John Bocco na bao lake la pili alifunga dakika ya 11 akimalizia pasi ya Clatous Chama. Ushindi huo umewapa nafasi Simba kujikita kileleni wakiwa na jumla ya pointi 88 na wamebakiwa na michezo mitatu ili kukamilisha mzunguko wa pili. Kwa nafasi ambayo kwa sasa Simba wamefikia wanahitaji pointi mbili ili kujihakikishia kutetea ubingwa wao msimu huu. Simba wamepiga jumla ya mashuti 10 ambayo hayakulenga lango huku Ndanda wakipiga jumla ya mashuti sita ambayo hayakulenga lango. Mchezo wao unaofuata ni dhidi ya Singida United utakaochezwa uwanja wa #SIMBAVsNDANDA #PATRICKAUSSEMS Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



KOCHA SIMBA "Hatuendi SINGIDA Kuchukua Alama 1 Tunashinda"
KOCHA SIMBA "Hatuendi SINGIDA Kuchukua Alama 1 Tunashinda"

KOCHA SIMBA "Hatuendi SINGIDA Kuchukua Alama 1 Tunashinda" KOCHA wa Simba, Patrick Aussems amesema kuwa timu ya Ndanda ni miongoni mwa timu ngumu kwenye Ligi Kuu Bara kutokana na mwenendo wake kwenye ligi hivyo ameingia uwanjani kwa tahadhari kubwa. Leo Simba imewakaribisha Ndanda Uwanja wa Uhuru ambapo utakuwa ni mchezo wa pili wakiwa na kumbukumbu ya kugawana pointi moja mchezo wa kwanza Mtwara. #SIMBAVsNDANDA #PATRICKAUSSEMS Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



KOCHA NDANDA Akana Kumtaja Mwamuzi Baada ya Matokeo
KOCHA NDANDA Akana Kumtaja Mwamuzi Baada ya Matokeo

KOCHA NDANDA Akana Kumtaja Mwamuzi Baada ya Matokeo MABINGWA watetezi Simba leo wamebeba pointi tatu mbele ya Ndanda FC na kuanza kunukia ubingwa wa ligi msimu huu kwa ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa uwanja wa Uhuru. Meddie Kagere kipindi cha kwanza amepachika mabao yote mawili ambapo bao la kwanza amefunga dakika ya tatu akimalizia pasi ya John Bocco na bao lake la pili alifunga dakika ya 11 akimalizia pasi ya Clatous Chama. Ushindi huo umewapa nafasi Simba kujikita kileleni wakiwa na jumla ya pointi 88 na wamebakiwa na michezo mitatu ili kukamilisha mzunguko wa pili. Kwa nafasi ambayo kwa sasa Simba wamefikia wanahitaji pointi mbili ili kujihakikishia kutetea ubingwa wao msimu huu. Simba wamepiga jumla ya mashuti 10 ambayo hayakulenga lango huku Ndanda wakipiga jumla ya mashuti sita ambayo hayakulenga lango. Mchezo wao unaofuata ni dhidi ya Singida United utakaochezwa uwanja wa #SIMBAVsNDANDA Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho




« Previous Next »


Popular Tags

#Paul George  #Best Goals Ever  #Michael Jordan  #LeBron James  #Kawhi Leonard  #Chicago Bulls  #Neymar  #Best Football Defending Skills  #Best Goals  #Los Angeles Lakers  

Popular Users

#TheNotoriousMMA  #TheRealJRSmith  #britneyspears  #KimKardashian  #JJWatt  #MieshaTate  #ArianaGrande  #_BAnderson30_  #PMOIndia  #KingJames  #selenagomez  #BBCBreaking  #RobGronkowski