MASANJA Alivyomuiga MWALIMU KASHASHA SIMBA VS NDANDA Muigizaji wa vichekesho pamoja na msanii wa nyimbo za injli Emmanule Maarufu Masanja leo alikuwepo katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kushihudia mechi ya Simba na Ndanda ambapo simba imeweza kuchukua pointi tatu muhimu. Masanja amemuiga mchambuzi wa kimataifa ambaye anapendwa na watu wengi na yeye ni mmoja wa watu ambao wanamkubali mwalimu kashasja ambapo ameigizia uchambuzi wake. #MASANJA #MWALIMUKASHASHA Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho