Encuentra más programas en la sección TVC PLAY ingresando al siguiente link https://www.televicentro.hn/tvcplay Mira más de ...
Leo April 11, 2023, Mpenja TV tupo Uwanja wa Azam Complex kwa ajili ya kukuletea Matukio Yote yatakayojiri katika mchezo mkali wa ligi kuu ya NBC kati ya wenyeji Yanga Sc dhidi ya Kagera Sugar ... NB: Kaa Karibu na Mpenja Tv kupata kila Jambo linaloendelea katika Mchezo huu
Yamefungwa magoli saba, yote yakitoka Yanga dhidi ya Rhino Rangers kutoka Ligi Daraja la Pili, katika mchezo wa kusaka kuingia hatua ya 16 bora, Azam Sports Federation Cup uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kennedy Musonda amefunga magoli mawili dakika ya 16 na 46 huku mengine yakitoka kwa Dickson Ambundo dakika ya 7, Stephane Aziz Ki dakika ya 20, Farid Mussa dakika ya 25, Yannick Bangala dakika ya 26 na David Bryson dakika ya 90'+3. Kwa ushindi huu, Yanga sasa itakipiga dhidi ya Tanzania Prisons katika hatua ya 16 bora.
Ve třetím souboji nadstavbové části druhé ligy zajížděli Piráti do Tábora, kde padli 4:5 po samostatných nájezdech. Přitom ještě v ...
Leo Januari 16, 2023, Mpenja TV tupo Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kukuletea Matukio Yote yatakayojiri katika mchezo mkali wa ligi kuu ya NBC kati ya wenyeji Yanga Sc dhidi ya Ihefu 'MBOGO MAJI' ... NB: Kaa Karibu na Mpenja Tv kupata kila Jambo linaloendelea katika Mchezo huu ambao Yanga wameupa Jina la 'USIKU WA KISASI'...
Piráti v rámci 25. kola druhé hokejové ligy zajížděli do Tábora. V přímém souboji o třetí místo byl k vidění vyrovnaný zápas, který ...
Piráti se v 11. kole druhé ligy střetli na domácím ledě s třetím týmem tabulky z Tábora. Hrál se velmi zajímavý a bojovný hokej.
Leo Agosti 22 2022 Mpenja Tv tunakuletea mahojiano na Straika wa Yanga SC, Fiston Kalala Mayele na Shabiki wa Yanga ambaye anafanana naye anayejulikana kwa jina la Issa Mohammed kutoka Tabora maarufu Mayele wa Mchongo. Fungua Video hii kusikia walichozungumza. #FistonMayele #MayeleWaMchongo #MpenjaTV