Leo Januari 16, 2023, Mpenja TV tupo Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kukuletea Matukio Yote yatakayojiri katika mchezo mkali wa ligi kuu ya NBC kati ya wenyeji Yanga Sc dhidi ya Ihefu 'MBOGO MAJI' ... NB: Kaa Karibu na Mpenja Tv kupata kila Jambo linaloendelea katika Mchezo huu ambao Yanga wameupa Jina la 'USIKU WA KISASI'...
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.