Leo April 11, 2023, Mpenja TV tupo Uwanja wa Azam Complex kwa ajili ya kukuletea Matukio Yote yatakayojiri katika mchezo mkali wa ligi kuu ya NBC kati ya wenyeji Yanga Sc dhidi ya Kagera Sugar ... NB: Kaa Karibu na Mpenja Tv kupata kila Jambo linaloendelea katika Mchezo huu
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.
Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar