Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Tumetolewa lakini tumeacha alama,tusijilaumu bali kwa hatua hii tujipongeze na Inshaallah Mwakani tutarudi kwa nguvu kubwa Kwenye Ligi ya Mabingwa!! Shukran Mungu kwa ulichotujaalia 🙏🙏 Sasa tunarudi kwa nguvu kubwa kuchukua ubingwa wetu wa Tanzania. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Mount Kenya United has re-appointed Melis Medo as head coach, two days after the American was reportedly fired by Sofapaka. The tactician, who won just one of seven games at Batoto Ba Mungu, left the club at position 11 on 7 points. Medo will work with Anthony Mwangi as his assistant. Mwangi was previously in charge of Mt. Kenya and managed just two draws and six defeats. The club, formerly known as Nakumatt FC, currently sits bottom of the 18-team log on 2 points.
MASHABIKI wengi wa soka wamekuwa wakiwa na maswali mengi kuhusu staili ya ushangiliaji ya winga Ramadhan Singano ‘Messi’, aliyofanya jana Alhamisi mara baada ya kufunga bao dhidi ya Ruvu Shooting. Singano akizungumza na mtandao rasmi wa klabu www.azamfc.co.tz amesema kuwa ameshangilia bao kwa staili hiyo akimshukuru Mwenyezi Mungu baada ya kumjalia mke wake kupata mtoto wa kiume mwanzoni mwa wiki hii, akiwa ni mtoto wake wa kwanza kwenye maisha yake. “Staili yangu ni kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumjalia mke wangu kunipa mtoto wa kiume, shangilia ile ilikuwa inamaanisha herufi ya ‘Y’ jina la baba yangu Yahya na mtoto wangu nikimpa jina la Yahya Ramdhan Singano,” alisema winga wa Azam FC, Ramadhan Singano 'Messi'. #TimuBoraBidhaaBora #AfricanFrutiImenogaFresh
Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara, timu ay Yanga imeendelea kuutumia vyema uwanja wake wa nyumbani kwa kuichapa Coastal Union bao 1-0. Mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kuanzia majira ya saa 1:00 jioni ulikuwa na mvuto wa aina yake kutokana na viwango bora vilivyooneshwa na timu zote mbili, Yanga ikiwa na nguvu zaidi kipindi cha kwanza, huku Coastal Union wakitawala zaidi kipindi cha pili. Bao la Yanga kwenye mchezo huo limepachikwa kimiani na mshambuliaji wake Heritier Makambo dakika ya 12 ya mchezo akiitumia vyema pasi ya Ibrahim Ajib, bao lililodumu hadi mwisho wa mchezo. Hata hivyo dakika ya 35 ya mchezo, Makambo aliingia nyavuni tena lakini mwamuzi akaamua kuwa siyo bao kutokana na Papy Tshishimbi ambaye ndiye aliyetoa pasi ya mwisho, kuwa kwenye eneo la kuotea. Baada ya mchezo huo Azam TV imezungumza na Ibrahim Ajib ambaye ameelezea siri ya kiwango chake kuwa juu kwa siku za karibuni kuwa ni kufuata maelekezo ya mwalimu na kumtegemea Mungu, huku akiwataka mashabiki wa Yanga kujiandaa kuchukua kombe la ligi hiyo msimu huu. Naye kiungo wa Coastal Union Mtenje Albano ameelezea sababu za timu yake kuelemewa zaidi kipindi cha kwanza kabla ya kuingia kwake dimbani.
Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC leo imepata ushindi wa mabao 4-3 dhidi ya Stand United katika mchezo wake wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Taifa Dar es Salaam. Mara baada ya mchezo huo, Nahodha wa Stand United Jacob Masawe ameeleza kusikitishwa na matokeo hayo akidai kuwa wao ndiyo waliotengeneza nafasi nyingi kuliko Yanga lakini wakashindwa kuzitumia. Masawe amesema matokeo hayo ni mipango ya Mungu na kwamba watajipanga kupata ushindi kwenye mchezo wa marudiano utakaopigwa mjini shinyanga. Kwa upande wa Yanga, Meneja wake Nadir Haroub amesema vijana wake walipoteza umakini baada ya kuona wanaongoza kwa mabao manne, lakini sasa watajipanga vizuri ili kurekebisha makosa yaliyoonekana.
Breaking News | Ssimbwa not happy despite Sofapaka's big win over Tusker Breaking News | Ssimbwa not happy despite Sofapaka's big win over Tusker Sofapaka head coach Sam Ssimbwa. Ssimbwa not happy despite Sofapaka's big win over Tusker By Terry Ouko | Tue 20 Mar, 2018 08:00 Despite beating Tusker FC in a nine goal-thriller over the weekend, Sofapaka FC boss Sam Ssimbwa is disappointed that his side conceded four goals in a single match. Maximum The match saw Batoto Ba Mungu win 5-4 against the Brewers as the two sides faced off at the Machakos Stadium on Sunday afternoon. The Ugandan is happy for maximum points from the tie but he is gutt... SUBSCRIBE To Our Channel : https://www.youtube.com/channel/UCPMjaOmdSqkcKmrntN5TF4Q Facebook : https://www.facebook.com/World-Breaking-News-1801911953358902/ Twitter : https://twitter.com/trinhhuuminhly Google+ : https://plus.google.com/u/0/101746655803030079868 Pinterest : https://www.pinterest.com/adanjanuzai/ Wedsite : http://www.bbc.com/news Instagram : https://www.instagram.com/world_breaking_news_tv/ Source : http://www.soka.co.ke/news/item/ssimbwa-not-happy-despite-sofapaka-s-big-win-over-tusker Thanks For Watching Video. Please SUBSCRIBE
Breaking News | Sofapaka edge 10-man Tusker in nine goal thriller Breaking News | Sofapaka edge 10-man Tusker in nine goal thriller Umaru Kasumba celebrates one of his goals for Sofapaka in a past league game. The Ugandan came off the bench to score twice as Batoto Ba Mungu saw off Tusker 5-4 on Sunday 18 March Sofapaka edge 10-man Tusker in nine goal thriller By Peter Wainaina | Sun 18 Mar, 2018 15:52 A nine goal thriller at the Kenyatta stadium in Machakos saw Sofapaka secure all three points in a pulsating 5-4 victory over 10-man Tusker in a Kenya Premier League (KPL) match played on Sunday 18 March. A brace each from Kep... SUBSCRIBE To Our Channel : https://www.youtube.com/channel/UCPMjaOmdSqkcKmrntN5TF4Q Facebook : https://www.facebook.com/World-Breaking-News-1801911953358902/ Twitter : https://twitter.com/trinhhuuminhly Google+ : https://plus.google.com/u/0/101746655803030079868 Pinterest : https://www.pinterest.com/adanjanuzai/ Wedsite : http://www.bbc.com/news Instagram : https://www.instagram.com/world_breaking_news_tv/ Source : http://www.soka.co.ke/news/item/sofapaka-edge-10-man-tusker-in-nine-goal-thriller Thanks For Watching Video. Please SUBSCRIBE
Breaking News | Kasumba the hero as Sofapaka edge out Tusker in thriller Breaking News | Kasumba the hero as Sofapaka edge out Tusker in thriller Kasumba the hero as Sofapaka edge out Tusker in thriller Umaru Kasumba came off the bench to score a double as Sofapaka edged out Tusker FC 5-4 in entertaining a Kenyan Premier League match played on Sunday 18th March in Machakos. Kepha Aswani and substitute Umaru Kasumba scored a double each while the other Batoto Ba Mungu goal was scored by keeper Mathias Kigonya from the spot. Mathew Odongo, Apollo Otieno, Hashim Sempala and Jackson Macharia got the goals for the Brewers in the highly enterta... SUBSCRIBE To Our Channel : https://www.youtube.com/channel/UCPMjaOmdSqkcKmrntN5TF4Q Facebook : https://www.facebook.com/World-Breaking-News-1801911953358902/ Twitter : https://twitter.com/trinhhuuminhly Google+ : https://plus.google.com/u/0/101746655803030079868 Pinterest : https://www.pinterest.com/adanjanuzai/ Wedsite : http://www.bbc.com/news Instagram : https://www.instagram.com/world_breaking_news_tv/ Source : http://www.futaa.com/article/148162/kasumba-the-hero-as-sofapaka-edge-out-tusker-in-thriller Thanks For Watching Video. Please SUBSCRIBE