Light at the end of the turnel
#skilztvke# Please Share, Like, Subscribe And Click The Notification Bell Remain Blessed.
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SINTOFAHAMU imetanda baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara kudaiwa kujiuzulu. Hayo yamejili baada ya Manara kuposti kwenye ukurasa wake wa Instagram maneno haya ambayo yametafsiriwa na wengi kuwa amebwaga manyanga. “Hivi vitimbi mnavyonifanyia kila siku kisa Simba vishanichosha, mwisho wa siku mtanitoa roho yangu kabla ya muda wangu… Imetosha kwa sasa!! Ubaya wote ni Haji lakini mafanikio ni yenu nyie Wakubwa… Kila siku ni Haji Haji Haji… “Mkitoka kunisingizia hili mtatengeneza cinema nyingine kwangu,,tunashindwa kujua kila Mja Mungu kampa fungu lake,,,,inakuwaje Rizki ya umaarufu wa mwenzio iwahangaishe kiasi hcho? “Likinitokea baya pakuanzia mnapo. Asanteni ndugu zangu na Mlipaji ni Mungu na ukweli utajulikana. IMETOSHA,” amendika na kuibua gumzo mtandaoni juu ya kile kilichomsibu. HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
Uchambuzi wa mchezo wa robo fainali ya pili ya ligi ya mabigwa afrika kati ya Simba SC dhidi ya Kaizer Chiefs FC, mchezo utakao pigwa kunako dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, majira ya saa 10:00 za jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
LOCATION :MOROGORO TANZANIA STADIUM: JAMUHURI LEAGUE: VODACOM PREMIER LEAGUE Chakushangaza ni media ambayo inalenga kujuza,kuelimisha na kuleta makala ambazo watu wengi hawazijui tunapatikana katika mitandao mbalimbali ya kijamii Instagram kwa jina chakushangaza_ Telegram kwa jina chakushangaza Facebook kwa jina chakushangaza YouTube kwa jina chakushangaza online Link https://youtu.be/mwok1OCN2bs TUNAAMINI kua wewe ndio unaweza kua chachu ya kutuinua na kuifanya chakushangaza iwe kubwa zaidi basi gusa link kisha subscribe channel hiyo ya YouTube MUNGU AKUBARIKI 🙏🙏🙏🙏 #Benlaysh #CHfootball #chakushangaza #benlayshsports
KOCHA POLISI TZ - "CHUMBA Chetu WALIZIMA UMEME, Ila NAMUACHIA MUNGU" Baada ya matokeo ya 2 -1 waliyoyapata Simba mbele ya Polisi Tanzania Kocha wa Polisi Tanzania amezungumzia na waandishi wa habari huku akionesha wazi kutoridhika na matokeo na figusi walizofanyiwa katika chumba cha kubadilishia nguo. UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982) ( +255 676 229628) HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?list... Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe http://bit.ly/globaltvonline
#LIVE: MAKOCHA WAKIZUNGUMZA MUDA HUU, BAADA ya MCHEZO KUMALIZIKA Makocha wa timu zote mbili baada ya mchezo wa Tanzania dhidi ya Burundi kumalizika walizungumza machache na waandishi wa habari na kuzsema kuwa wamejifunza mmengi ingawa mchezo ulikuwa mgumu sana, hivyo hawana budi kumshukuru Mungu.. #TAIFASTARSvsZIMBABWE https://www.youtube.com/playlist?list... https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos Here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos Here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.TZ Facebook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho